MFALME WETU
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 4,735
- 11,341
Nasikia mtaani kwako wewe ndo sukari aka Zuchu wao
Bichwa kalogwa yule 😂Mbaga ndo umwambii kitu hapo..
Atasikitika sana ila hapo kwa bichwa achomoi
Kwa mwaka huu wa 2025, hakuna mwanamke kama huyo muraaHuyu manzi wa mtaani hapa namfanyia kila visa ili aniache,ndo kwanza yeye anazidisha mahaba kwangu.
View attachment 3350296
Day nimejikuta nacheka out loudMmh nyie wenzetu mnafanyaje? Kuna mshkaji wangu naye ana ngekewa ya mademu kama yako na yuko simple tu!
Wakina sisi ni vumbi tu hata msaidizi wa mama ntilie anakuchomolea 🥲
Acha tu mzee maisha sio fair kabisaDay nimejikuta nacheka out loud
Mbona comment yako kama umeiandika kwa uchungu sana ndugu yangu
Kumbe ni huyu Hadija mwenyewe!!. Khaa!Huyu manzi wa mtaani hapa namfanyia kila visa ili aniache,ndo kwanza yeye anazidisha mahaba kwangu.
View attachment 3350296
Sema kaka hii screenshot kama umetupiga hivi, huenda sio yako ume download huko wapi sijui....Huyu manzi wa mtaani hapa namfanyia kila visa ili aniache,ndo kwanza yeye anazidisha mahaba kwangu.
View attachment 3350296
Screenshot yako umechukua kweli kwa simu yako ila ya mtoa mada ina uwalakini...
Tuwazoee tu ila kufake sio nyama.Screenshot yako umechukua kweli kwa simu yako ila ya mtoa mada ina uwalakini...
Kuna watu humu wanatudanganya sana kwa kuvaa uhusika fake kupitia hivi convos za picha hasa za screenshots. Sijui malengo yanakuaga nini kufanya hivyo..