Kuutumia upendo wa mtu kama udhaifu sio ushujaa. Watu wenye tabia hizi ndo mnafanya mioyo ya wanawake kuwa migumu. Kesho umefika wakati wa kuoa kila mwanamke unayemgusa anakupiga matukio. Mnaanza kuleta nyuzi humu za wanawake kutanguliza mbele pesa kumbe ndo malipo mliyoyapanda. Usifanye kitu ambacho hupendo kufanyiwa.
