Jembemtaji
JF-Expert Member
- Aug 21, 2014
- 1,192
- 928
Hao ni mashoga sio wanaume hakuna mwanaume anaye ringa duniani.
Wanaume wazuri Malaya sana utaishia kulia kila cku
mwanume mzuri anakuwaje?[/QUOTE
Ameenda hewani ana kifua kipana na mikono iliojaajaa kulingana na mwili wake ana sura nzuri huu ni mwonekano wa nje
Hahahaa haaaa
Nimecheka
Wapo waliotulia tena sn tu
mwanume mzuri anakuwaje?[/QUOTE
Ameenda hewani ana kifua kipana na mikono iliojaajaa kulingana na mwili wake ana sura nzuri huu ni mwonekano wa nje
Mwanaume akishajijua tu kuwa ni mzuri na wadada tunampapatikia,basi nae ataanza nyodo kama binti...naichukia sana hii tabia,wenye tabia hii jirekebisheni bana,mnatufanya sisi wadada tushindwe kujiexpress feelings zetu kwenu.
hii hoja inanishangaza sana,kila ke atayeibuika anataka me mrefu,haijaelezwa ni urefu gani neno mrefu ni subjective sana!mtoe na vipimo basi!View attachment 161065huyu nae anataka mrefu yupi sasa!!!!