cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,102
- 181,131
Sasa je?Yani uniloge kisa kukomenti
Sasa je?Yani uniloge kisa kukomenti
Wacha wee, 😂😂😂😂Akiwa hewani ani tag uone kweriiiii au sio kweriiiii 😃 🤣 kua yule demu anasumbua sana.
Huwa naogopa kuumiza moyo wa mwanamke dats Huwa nipo mbali mbaliii na hizo mambo..
Nimetundika daluga nipo njia kuuu mstaafuu mie.
Email unayo? nicheki dm tumalize kazi leo leonyway anaejua kurudisha Instagram Account bila access ya phone number anisaidie
ShindwaSasa je?
Sawa mkuuUongooo.
Hii ni kauli sio nzuri imekaa kibiashara zaidi Kama aliyecheat nae ni Bora zaidi kwanini anamlilia jamaa?You didn't cheat.. you upgraded to somebody better😍
Kama angekuwa ni upgrade kwanini hakumuacha jamaa ndio angeenda kwa huyo aliyecheat nae? Na pia kwanini anajiliza humu jamii forum baada ya kuachwa na jamaa si asingeumia angebaki na aliyecheat naeTofautisha umalaya na ku-upgrade.
Ukiwa malaya kila mwanaume mpya ni bora kwako.
Natafuta AjiraYou didn't cheat.. you upgraded to somebody better😍
Huyo uliyecheat nae ilikuwa mara moja au zaidiNi bahati mbaya jamani,.
Nampenda ndio ( Umbali tatizo nikashindwa kukaza )
mi npo tu jamaa yanguHatari sana, vijana wastaarabu makanisani hatuendi mbinguni, sijakuona siku nyingi sana mzee, habari za kupotea!.
Hawa ndio aina ya wanawake tuna date naoJesus!!!!!!!
Asante sana kwa kupokea salamu, tupo pamoja.mi npo tu jamaa yangu
Kizazi cha 2000's ,ku - upgrade mwanzo mwwisho.Hawa ndio aina ya wanawake tuna date nao
Sahihi kabisa mkuu, halafu wakiitwa malaya wanaona wanatukanwa 😂Kama angekuwa ni upgrade kwanini hakumuacha jamaa ndio angeenda kwa huyo aliyecheat nae? Na pia kwanini anajiliza humu jamii forum baada ya kuachwa na jamaa si asingeumia angebaki na aliyecheat nae
N mwendo wa kumsokomezea nyama tuu 🔥Mwamba ee lile limshangazi lipo wapi?