Ila kuachwa

Ila kuachwa

Akiwa hewani ani tag uone kweriiiii au sio kweriiiii 😃 🤣 kua yule demu anasumbua sana.

Huwa naogopa kuumiza moyo wa mwanamke dats Huwa nipo mbali mbaliii na hizo mambo..

Nimetundika daluga nipo njia kuuu mstaafuu mie.
Wacha wee, 😂😂😂😂
 
Kama angekuwa ni upgrade kwanini hakumuacha jamaa ndio angeenda kwa huyo aliyecheat nae? Na pia kwanini anajiliza humu jamii forum baada ya kuachwa na jamaa si asingeumia angebaki na aliyecheat nae
Sahihi kabisa mkuu, halafu wakiitwa malaya wanaona wanatukanwa 😂
 
Back
Top Bottom