Ila kuachwa

Ila kuachwa

Ila kuachwa umri huu..

Na mbwembwe zote zile za kuandika na Uzi,. Ukiachana na kujimaliza WhatsApp statuses,. Ndugu na jamaa na marafiki,. Mliokua single nlikuwa nawaona hamna akili sawasawa,. Aaah Leejay mbwa Mimi kiko wapi sasa

Sio Tu kuachwa ni kudhalilikaaa,. Hakii nimevuliwa nguo🤸🤸,.
Pombe hazileweshi sijui nijaribu bangi

(Ok nilicheat ndiomaana nimeachwa),. Sa ningefanyaje Mxiiewww

Anyway anaejua kurudisha Instagram Account bila access ya phone number anisaidie
Pole kwa kuachwa,

Kama una Passport au unaweza kupata Passport, fungua PM tuongee kwa uzuri
 
Jirani pole 😹😹
Oga rudi kwa soko muda bado utapata mwingine..!!

Ila uliechit naye kuna vitu kakosa usingejilaumu na kujiliza mahi 😹
Kumbe akiwa hajakizi vigezo alafu kikabuma inawaumaga sana?

Mkinga mwenzako nilimchangamsha vizuri ad akakolea alafu ghafla nimempotezea. Tukikutana road ananiwakia balaa
 
Namuomba huyo mganga konki maana shemeji yako anashindwa kutuliza Delibolo lake 🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️
Jamani km uko serious, njoo PM nikupe connection.
Shem lazima atulizwe.
 
Back
Top Bottom