Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 43,856
- 103,844
N mwendo wa kuwajaza tuu 😂Wataelewa tu, wenyewe si wanatuona ATM card, sisi tutawafanya malango ya mataifa ya wana wa israel, ngoma drow drow.
N mwendo wa kuwajaza tuu 😂Wataelewa tu, wenyewe si wanatuona ATM card, sisi tutawafanya malango ya mataifa ya wana wa israel, ngoma drow drow.
Bro hudhuria vikao.....Mbona kama uzi una shangwe wakati ni wa kuachwa
Huyo ni mwanamke ndiyo maana, kwa mwanaume ni dhambi kubwa sana kukiri mahakamani kwamba matrako ya wadada huwa yanakusumbua mtaani, ni mbaya sana hata shetani mwenyewe hawezi kukusamehe kamwe.Eleza yaliyokukuta ili vijana wangu wacheke na kujifunza , binti Leejay kaeleza wazi wazi bila hofu.
Mwanzo mwisho, mimi natoa hela natafuta nyingine, yeya anazaa, anakonda mwisho anabaki kipisi.N mwendo wa kuwajaza tuu
Ila kuachwa umri huu..
Na mbwembwe zote zile za kuandika na Uzi,. Ukiachana na kujimaliza WhatsApp statuses,. Ndugu na jamaa na marafiki,. Mliokua single nlikuwa nawaona hamna akili sawasawa,. Aaah Leejay mbwa Mimi kiko wapi sasa
Sio Tu kuachwa ni kudhalilikaaa,. Hakii nimevuliwa nguo🤸🤸,.
Pombe hazileweshi sijui nijaribu bangi
(Ok nilicheat ndiomaana nimeachwa),. Sa ningefanyaje Mxiiewww
Anyway anaejua kurudisha Instagram Account bila access ya phone number anisaidie
Unapass wagangaa kwa wanaume pia?Kumbe kosa ni lako ndo maana umeachwa mlongo, hapo pambana mwayaa.
Ingekua vinginevyo, ningekupasia mganga konkii, ex shem angekufata kukuomba msamaha huku akiwa anatambaa km mtoto wa miezi 9.
😂😂😂😂😂
Hatari sana, vijana wastaarabu makanisani hatuendi mbinguni, sijakuona siku nyingi sana mzee, habari za kupotea!.Hakuna mwananamke asiye single inategemea katongozwa na nani
Imagine aliwekwa dogi kitu ikapakwa mafuta fikicha kidogo kwenye mashavu ya naniii route mbili tatu penyeza yote chekecha nyashi ifiti vizuri mamaye 😂hakuna kusamehe msalitii😂😂😂😂😂
Miguno, plus miuno feni, na alikojolea ndaniii.
Woiiiiiii!!! Kwishaaaaa!! 😂😂😂😂😂
Nimependa hii ipo kisasa zaidiYou didn't cheat.. you upgraded to somebody better😍
Kabisa yaniNimependa hii ipo kisasa zaidi
Inasikitisha sana, hasa ukivuta picha😅😅😅😅Imagine aliwekwa dogi kitu ikapakwa mafuta fikicha kidogo kwenye mashavu ya naniii route mbili tatu penyeza yote chekecha nyashi ifiti vizuri mamaye 😂hakuna kusamehe msalitii
Usitujumlishe wote tafadhali....Wanawake wote ni malaya, wanatofautiana mbinu tuu.