Ila kuachwa

Ila kuachwa

IMG_5480.jpeg
 
Hivi ndugu wewe huna mama au dada? Katika familia yako upande wa baba na mama hakuna wanawake? Umewezaje kusema "wanawake wote ni malaya" ukisahau kuwa aliekuzaa pia ni mwanamke?
Narudia tena.

Wanawake wote ni malaya, wanatofautiana mbinu tuu.
 
Nimeona... Lbd wamerudiana ndiomaana akaedit
Mkuu,kufuta uzi maana yake ni kutambua kua ulifanya makosa au hukupaswa kuuleta uzi husika,nafikiri amelitambua hilo baada ya kusoma comments kwenye uzi husika,

Kurudiana kusingemfanya kufuta uzi bali angetufahamisha kwa furaha kua wamerudiana.

Hayo ni mawazo yangu tu.
 
Mkuu,kufuta uzi maana yake ni kutambua kua ulifanya makosa au hukupaswa kuuleta uzi husika,nafikiri amelitambua hilo baada ya kusoma comments kwenye uzi husika,

Kurudiana kusingemfanya kufuta uzi bali angetufahamisha kwa furaha kua wamerudiana.

Hayo ni mawazo yangu tu.
Aliharibu Uzi mwenyewe pale alipotoa sababu ya kuachika kwamba Ali cheat. Akina Mbaga Jr wakamshukia jumla jumla
 
Umecheat kwa sababu gani??
Sheria ni moja mwanamke msaliti hapaswi kusamehewa kamwe ewaah mwanakulipata mwanakulitafuta 🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom