Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 43,897
- 103,962
N ww ndo umeona hvy😹😹😹😹 Wanaume siku hizi mnasifia vitraco vyenu dah!!
N ww ndo umeona hvy😹😹😹😹 Wanaume siku hizi mnasifia vitraco vyenu dah!!
😹😹😹😹 au sio?Eh sijaona hizo chats, kwanza umenitajia watu ambao hawapo kwenye circle yangu ya kuwatazama
Nenda kwenye uzi wa coca utaona huko 😹N ww ndo umeona hvy
Hivi ndugu wewe huna mama au dada? Katika familia yako upande wa baba na mama hakuna wanawake? Umewezaje kusema "wanawake wote ni malaya" ukisahau kuwa aliekuzaa pia ni mwanamke?Wanawake wote ni malaya, wanatofautiana mbinu tuu.
Narudia tena.Hivi ndugu wewe huna mama au dada? Katika familia yako upande wa baba na mama hakuna wanawake? Umewezaje kusema "wanawake wote ni malaya" ukisahau kuwa aliekuzaa pia ni mwanamke?
Nimeona... Lbd wamerudiana ndiomaana akaeditUzi bado unapatikana kwenye comment 27#
😀😀
Mkuu,kufuta uzi maana yake ni kutambua kua ulifanya makosa au hukupaswa kuuleta uzi husika,nafikiri amelitambua hilo baada ya kusoma comments kwenye uzi husika,Nimeona... Lbd wamerudiana ndiomaana akaedit
Aliharibu Uzi mwenyewe pale alipotoa sababu ya kuachika kwamba Ali cheat. Akina Mbaga Jr wakamshukia jumla jumlaMkuu,kufuta uzi maana yake ni kutambua kua ulifanya makosa au hukupaswa kuuleta uzi husika,nafikiri amelitambua hilo baada ya kusoma comments kwenye uzi husika,
Kurudiana kusingemfanya kufuta uzi bali angetufahamisha kwa furaha kua wamerudiana.
Hayo ni mawazo yangu tu.
Naona uzi umesha rudishwa tayari,Aliharibu Uzi mwenyewe pale alipotoa sababu ya kuachika kwamba Ali cheat. Akina Mbaga Jr wakamshukia jumla jumla
Pole sana ndugu!!!!!!Narudia tena.
Wanawake wote ni malaya, wanatofautiana mbinu tuu.
Hela ipo?? Nikuelekeze sehemu hapo ni chap kwa ukali mtu anakua chini yakoEm nipasie huyo mtalamu afanye asikimbuke kitu,. Tuendelee tulipoishiaðŸ˜