Ila kuachwa

Ila kuachwa

Ila kuachwa umri huu..

Na mbwembwe zote zile za kuandika na Uzi,. Ukiachana na kujimaliza WhatsApp statuses,. Ndugu na jamaa na marafiki,. Mliokua single nlikuwa nawaona hamna akili sawasawa,. Aaah Leejay mbwa Mimi kiko wapi sasa

Sio Tu kuachwa ni kudhalilikaaa,. Hakii nimevuliwa nguo🤸🤸,.
Pombe hazileweshi sijui nijaribu bangi

(Ok nilicheat ndiomaana nimeachwa),. Sa ningefanyaje Mxiiewww

Anyway anaejua kurudisha Instagram Account bila access ya phone number anisaidie

Mbona kama uzi una shangwe wakati ni wa kuachwa
 
Ila kuachwa umri huu..

Na mbwembwe zote zile za kuandika na Uzi,. Ukiachana na kujimaliza WhatsApp statuses,. Ndugu na jamaa na marafiki,. Mliokua single nlikuwa nawaona hamna akili sawasawa,. Aaah Leejay mbwa Mimi kiko wapi sasa

Sio Tu kuachwa ni kudhalilikaaa,. Hakii nimevuliwa nguo🤸🤸,.
Pombe hazileweshi sijui nijaribu bangi

(Ok nilicheat ndiomaana nimeachwa),. Sa ningefanyaje Mxiiewww

Anyway anaejua kurudisha Instagram Account bila access ya phone number anisaidie
Mh!!!
 
Back
Top Bottom