Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,032
- 111,618
Jichanganye ujute, sema umehit the target. We ni sniper?Tayari order ishawekwa, andaa malipo.
Jichanganye ujute, sema umehit the target. We ni sniper?Tayari order ishawekwa, andaa malipo.
Itachukua muda lakini.Sema hamna shida,. I will be ok
Ila kuachwa umri huu..
Na mbwembwe zote zile za kuandika na Uzi,. Ukiachana na kujimaliza WhatsApp statuses,. Ndugu na jamaa na marafiki,. Mliokua single nlikuwa nawaona hamna akili sawasawa,. Aaah Leejay mbwa Mimi kiko wapi sasa
Sio Tu kuachwa ni kudhalilikaaa,. Hakii nimevuliwa nguo🤸🤸,.
Pombe hazileweshi sijui nijaribu bangi
(Ok nilicheat ndiomaana nimeachwa),. Sa ningefanyaje Mxiiewww
Anyway anaejua kurudisha Instagram Account bila access ya phone number anisaidie
Kitu kimenyooka kama kimepigwa pasi hakuna ubabaishaji kabisa.Wanawake wote ni malaya, wanatofautiana mbinu tuu.
Unapenda sanaSio kivileee.
😂😂😂😂😂Jichanganye ujute, sema umehit the target. We ni sniper?
Mh!!!Ila kuachwa umri huu..
Na mbwembwe zote zile za kuandika na Uzi,. Ukiachana na kujimaliza WhatsApp statuses,. Ndugu na jamaa na marafiki,. Mliokua single nlikuwa nawaona hamna akili sawasawa,. Aaah Leejay mbwa Mimi kiko wapi sasa
Sio Tu kuachwa ni kudhalilikaaa,. Hakii nimevuliwa nguo🤸🤸,.
Pombe hazileweshi sijui nijaribu bangi
(Ok nilicheat ndiomaana nimeachwa),. Sa ningefanyaje Mxiiewww
Anyway anaejua kurudisha Instagram Account bila access ya phone number anisaidie
Duh...alafu itakuwa mlipiga kavukavu...hatari sana...cha kufia nini..hata mimi ningekutoa mbioNi bahati mbaya jamani,.
Nampenda ndio ( Umbali tatizo nikashindwa kukaza )
Sio kivileee.Unapenda sana
Kachawi haka kumbeSio kivileee.
Yah huu ndo ukweli, kuwa malaya sio lazima ujipange barabarani au kuwepo kwenye channel za ujiuzaji.Kitu kimenyooka kama kimepigwa pasi hakuna ubabaishaji kabisa.
😂😂😂😂😂Duh...alafu itakuwa mlipiga kavukavu...hatari sana...chakufia nini..hata mimi ningekutoa mbio
😂 pepsi baridi inakuhusu😂😂😂😂😂
Kiasi chakee, 😂😂😂😂Kachawi haka kumbe
Mirinda nyeusi itapendezaa, 😂😂😂😂😂 pepsi baridi inakuhusu
Jesus!!!!!!!You didn't cheat.. you upgraded to somebody better😍
Kuna muda ikachomoka akairudisha 😂😂😂😂😂😂
Ila usaliti kuuvumilia ni ngumu, ukiwaza jinsi tendo lilivyokua,
Woiiiiiih!! 😂😂😂😂😂
Utapata kwa point ile hata ukitaka kilaji unapataMirinda nyeusi itapendezaa, 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂Kuna muda ikachomoka akairudisha 😂
Oya usaliti unauma ukikumbuka ile mikao aliyokuwa anakupa
PoleJesus!!!!!!!