Ila kuachwa

Ila kuachwa

Aliye cheat nae ni low classic kuliko main chibaba.
😂😂😂😂😂
😹😹😹 kabisaaaa
Yani angekutana na wakali wa hizo kazi hata muda wa kuandika uzi asingepata..!!

Tumpe pole na hongera ya kuongeza experience… 😹
 
MBONA WENGI MNATOA POLE KIBOYA BOYA WAKUU,

yaani Leejay49 nilikuheshimu sana humu jamiiforums lakini daah😥 i didn't know you're weird

Mkuu Natafuta Ajira na braza Zemanda naomba mje kusema neno hapa lazima pachimbikeee haiwezekani yaani

Yoda na Rayns usisahau kuja na Delly_

LOVE IS ILLUSION, AND THERE'S NO ACCIDENTALLY CHEATING

..,...........your faithfully
..........,.........traxx
the Folliculostellate
Unamuheshimu au ulitaka kujiweka 😹😹
Waungwana mbona jirani yangu leejay hanaga tatizo yanazungumzika hayo 🤣
 
Kumbe akiwa hajakizi vigezo alafu kikabuma inawaumaga sana?

Mkinga mwenzako nilimchangamsha vizuri ad akakolea alafu ghafla nimempotezea. Tukikutana road ananiwakia balaa
Wee nae liongo liongo lol! 😹😹
Wewe si ulisema mkinga hujamla?

Sema wakinga unatuelewa ni vile hatukuzingatiii 😹
 
Kwa vile hauna emoji za kulialia au sio?,.

Ni wiki imepita sikua hata na mood ya kuandika andika

Sio tu emoj za kulia lia,ulivyoandika tu ni kama unasound not guilty wala huumii

Umeandika hivi mixer vi-emoj vya sarakasi na msonyo juu

"Sio Tu kuachwa ni kudhalilikaaa,. Hakii nimevuliwa nguo🤸🤸,.
Pombe hazileweshi sijui nijaribu bangi

(Ok nilicheat ndiomaana nimeachwa),. Sa ningefanyaje Mxiiewww"

Lakini pole
 
Kwa mwanaume hy n nature, Kwenye body count usijifananishe na mwanaume ndo mana video za ngono zikivuja anayeonekana malaya n Mwanamke na sio mwanaume
Kwahiyo zile chats za lokole na Suti bega nani kaonekana malaya?
 
Back
Top Bottom