Ila kuachwa

Ila kuachwa

Ukimsamehe basi atakudharau zaidi ya alivyokudharau mwanzo,na atazidisha kukucheat,coz kucheat ni tabia na sio ajali,

Pia utaishi nae kwa wasiwasi coz hutamuamini tena,life is too short,kwanini uishi kwa wasiwasi?

Msaliti,mfungulie mlango aende zake kisha delete kila kitu kinachohusiana nae na uingie kwenye Dunia nyingine kabisa bila yeye.
Kwa bahati mbaya siku hizi wanaume wengi hawaliwezi hili wanabaki kulia lia.
 
Ni hatari sana, mwanamke unaweza ukamnunulia ndinga la milioni 200 akatoka kwenda misele njiani akakutana na boya mmoja tu akampatia kamseleko kufika mbele mafuta yamekata, basi jamaa akijiongeza tu akamchangia mwekundu 1 tu wa mafuta hiyo inatosha kabisa kuwa tiketi ya kukusaliti, wanawake mambo yao wanayajua wenyewe ni ya hovyo sana.
Umeongea kwa uchungu Sana ,dhahiri umepitia mengi mno.
 
Back
Top Bottom