Ikulu mnaalika watu wenye heshima kijanja kisha mnawazodoa

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
39,802
71,229
Kitendo hiki ni cha aibu sana na kinashusha heshima ya Ikulu yetu. Nina uhakika Mheshimiwa Rais hakufahamu njia zilizotumika na ratiba ya mambo ilivyo pangwa.

Juzi kulikuwa na hafla ya kutia Saini mkataba wa Bandari.

Baadhi ya watu mashuhuri na wengine kutokea TEC akiwamo Fr. Kitima walialikwa lakini bila kutaja wamealikwa kwenye nini Ikulu kama kadi zilivyoonyesha.

Mwaliko ulionyesha Rais (tena kwa kitisho cha Amiri jeshi mkuu) anakualika na hivyo sio rahisi kukwepa. Sasa mbaya ni kuwatumia wasanii kama Mrisho Mpoto kuwasemanga mle ndani eti hata wale waliopinga wapo humu!

Sio uungwana hata kidogo taasisi yenye heshima kama ikulu kufanya mambo ya kwenye vigodoro au kitchen party. Kwani wange Saini na kutoa hotuba zao bila kuwasemanga waliokuwa wanapingankwa maslahi ya nchi kulikuwa na ubaya gani?

Hili hata watu kama Pascal Mayalla wanaotetea mambo ya ikulu kwa kila kitu wataona sio right!

IMG-20231027-WA0034.jpg
 
Kitendo hiki ni cha aibu sana na kinashusha heshima ya Ikulu yetu. Nina uhakika Mheshimiwa Rais hakufahamu njia zilizotumika na ratiba ya mambo ilivyo pangwa.
Juzi kulikuwa na hafla ya kutia Saini mkataba wa Bandari.
Baadhi ya watu mashuhuri na wengine kutokea TEC akiwamo Fr.Kitima walialikwa lakini bila kutaja wamealikwa kwenye nini Ikulu kama kadi zilivyoonyesha.
Mwaliko ulionyesha Rais (tena kwa kitisho cha Amiri jeshi mkuu) anakualika na hivyo sio rahisi kukwepa.
Sasa mbaya ni kuwatumia wasanii kama Mrisho Mpoto kuwasemanga mle ndani eti hata wale waliopinga wapo humu!
Sio uungwana hata kidogo taasisi yenye heshima kama ikulu kufanya mambo ya kwenye vigodoro au kitchen party. Kwani wange Saini na kutoa hotuba zao bila kuwasemanga waliokuwa wanapingankwa maslahi ya nchi kulikuwa na ubaya gani?
Hili hata watu kama Pascal Mayalla wanaotetea mambo ya ikulu kwa kila kitu wataona sio right!View attachment 2794452
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa majeshi ya Ulinzi na Usalama ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anayo furaha kukukaribisha

Bwana na Bibi/Bi/Prof/Dkt.

FR CHARLES KITIMA

katika Hafla Maalum itakayofanyika siku ya jumapili tarehe 22 Oktoba 2023, Ikulu Chamwino, Dodoma saa 04:00 asubuhi.

Jibu kwa: Mnikulu, Ikulu, Dodoma, Simu: +255 714 186 948

2000

Ikulu Chamwino, Dodoma

Tafadhali Njoo na Kadi H

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitendo hiki ni cha aibu sana na kinashusha heshima ya Ikulu yetu. Nina uhakika Mheshimiwa Rais hakufahamu njia zilizotumika na ratiba ya mambo ilivyo pangwa.

Juzi kulikuwa na hafla ya kutia Saini mkataba wa Bandari.

Baadhi ya watu mashuhuri na wengine kutokea TEC akiwamo Fr. Kitima walialikwa lakini bila kutaja wamealikwa kwenye nini Ikulu kama kadi zilivyoonyesha.

Mwaliko ulionyesha Rais (tena kwa kitisho cha Amiri jeshi mkuu) anakualika na hivyo sio rahisi kukwepa. Sasa mbaya ni kuwatumia wasanii kama Mrisho Mpoto kuwasemanga mle ndani eti hata wale waliopinga wapo humu!

Sio uungwana hata kidogo taasisi yenye heshima kama ikulu kufanya mambo ya kwenye vigodoro au kitchen party. Kwani wange Saini na kutoa hotuba zao bila kuwasemanga waliokuwa wanapingankwa maslahi ya nchi kulikuwa na ubaya gani?

Hili hata watu kama Pascal Mayalla wanaotetea mambo ya ikulu kwa kila kitu wataona sio right!

View attachment 2794452
Ukishaona wezi na wanyang'anyi wameweka kilinge humo ujue maadili ni kosa la jinai hapo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom