Ikulu, hili la Fr. Kitima na utiaji sahihi ni uswahili wa mitaani

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
15,336
24,232
Kwanza niseme wazi kuwa, tayari nimeunga mkono juhudi za Mama Samia kuendeleza bandari kwa kuwapa DP World baada ya kurekebisha vipengele vya mkataba.

Hivyo vipengele bado havipo public, but we hold our President accountable kuwa ana nia njema.

Tatizo ni uswahihii uswahili uliotumika kualika washuhudiaji wa utiaji mkataba huo.

Watu wamealikwa wasijue nini kinaendeea.

Fr Kitima tunajua yupo TEC naye alialikwa bila kujua nini kinaendela, na wito kwenda Ikulu si jambo dogo.

Fr. Kitima pamoja na TEC wako on record kuonyesha mapungufu ya mkataba wa awali wa nchi yetu na DP World.

Sasa aliyealika alikuwa akijua anafanya nini na kwa dhamira ipi.
Mbaya zaidi wakamualika mhuni wa mitaani Mrisho Mpoto kuangusha vijembe dhidi ya Fr Kitima.

IKULU THATS LOW!
Next time mkialika mtu na mkamlisha nguruwe Ikulu nani atashangaa? Kilichofanyika ni uswahili wa wakuchamba mtu, not expected from Ikulu.

Was it coordinated?
Tunakumbuka hotuba Rais akisema hata waliopinga wapo humu!

Next time mkiita watu wenye heshima zao Ikulu, watahoji mwito huo kama una maslahi kwake mtu binafsi, au wanaenda kuchambwa na Mrisho Mpoto.

Ikulu, mmejishushia hadhi.
 
Sijui kwa nini hawakusema kusudi la mualiko, lakini nadhani kutowapa nafasi watukanaji na wapotoshaji katika tukio hili adhimu. Pia kadi inayo oneshwa mitandaoni inaweza kuwa feki na lengo la kupotosha.

Pia mualikwa anaweza kuulizia wasaidizi ikulu kusudi la mualiko na anaweza kukataa mualiko kistaarabu ikiwa hataki.

Kazi iendelee kwa tenda za magati mengine ya bandari ya Dar na kuangalia bandari zingine zinazo weza kufanikiwa kwa uwekezaji
 
Sijui kwa nini hawakusema kusudi la mualiko, lakini nadhani kutowapa nafasi watukanaji na wapotoshaji katika tukio hili adhimu. Pia kadi inayo oneshwa mitandaoni inaweza kuwa feki na lengo la kupotosha.

Pia mualikwa anaweza kuulizia wazaidizi ikulu kusudi la mualiko na anaweza kukataa mualiko kistaarabu ikiwa hataki.

Kazi iendelee kwa tenda za magati mengine ya bandari ya Dar na kuangalia bandari zingine zinazo weza kufanikiwa kwa uwekezaji
Mkuu kuna watu wanafeli katika mizania ya INTERGRITY.
 
Ikulu kutoa mwaliko bila kutaja shughuli inayoenda kufanyika inaweza isiwe tatizo sana. Tatizo ni kumruhusu Mrisho Mpoto kuwananga viongozi wa kiroho bila aibu kana kwamba walijua walichoitiwa.

Aibu! aibu! aibu kuu.

Tumekuwa tukifanya mambo hovyo hovyo ndio maana hata kuendesha bandari yetu imetushinda.
 
Sasa Huu Ubabaifu, Ujanja Ujanja, Yaani Jambo Linaiweka Mamlaka Mashakani
Nakumbuka Mpoto Aliimba Vijembe Akiwaponda Wakina Kitime Na Wengine
 
Kwanza niseme wazi kuwa , tayari nimeunga mkono juhudi za Mama Samia kuendeleza bandari kwa kuwapa Dp World baada ya kurekebisha vipengele vya mataba.

Hivyo vipengele bado havipo public, but we hold our President accountable kuwa ana nia njema.
Tatizo ni uswahihii uswahili uliotumika kualika washuhudiaji wa utiaji mkataba huo.
Watu wamealikwa wasijue nini kinaendeea.

Fr Kitima tunajua yupo TEC naye alialikwa bila kujua nini kinaendela, na wito kwenda Ikulu si jambo dogo.

Fr. Kitima pamoja na TEC wako on record kuonyesha mapungufu ya mkataba wa awali wa nchi yetu na DP World.

Sasa aliyealika alikuwa akijua anafanya nini na kwa dhamira ipi.
Mbaya zaidi wakamualika mhuni wa mitaani Mrisho Mpoto kuangusha vijembe dhidi ya Fr Kitima.

IKULU THATS LOW!

Next time mkialika mtu na mkamlisha nguruwe Ikulu nani atashangaa? Kilichofanyika ni uswahili wa wakuchamba mtu, not expected from Ikulu.

Was it coordinated?
Tunakumbuka hotuba Rais akisema hata waliopinga wapo humu!

Next time mkiita watu wenye heshima zao Ikulu, watahoji mwito huo kama una maslahi kwake mtu binafsi, au wanaenda kuchambwa na Mrisho Mpoto.

Ikulu, mmejishushia hadhi.
Umeaiweka vizuri sana, inapofikia nchi kuendeshwa kwa vijembe tena na viongozi wa juu ni jambo lisilokuwa na afya. Yule mhuni hatuwezi kumshangaa kwasababu ya elimu yake na uwezo wake wa kufikiri ulikomea pale, lakini tunaopaswa kuwashangaa ni wale waalikaji na nia yao ya kualika kwa jinsi walivyoalika na hotuba walizotoa. TEC walitoa waraka kuonyesha mapungufu ya IGA kwa nia ya kuboresha, tuwashangae wanaoina TEC kama adui.
 
Kwanza niseme wazi kuwa , tayari nimeunga mkono juhudi za Mama Samia kuendeleza bandari kwa kuwapa Dp World baada ya kurekebisha vipengele vya mataba.

Hivyo vipengele bado havipo public, but we hold our President accountable kuwa ana nia njema.
Tatizo ni uswahihii uswahili uliotumika kualika washuhudiaji wa utiaji mkataba huo.
Watu wamealikwa wasijue nini kinaendeea.

Fr Kitima tunajua yupo TEC naye alialikwa bila kujua nini kinaendela, na wito kwenda Ikulu si jambo dogo.

Fr. Kitima pamoja na TEC wako on record kuonyesha mapungufu ya mkataba wa awali wa nchi yetu na DP World.

Sasa aliyealika alikuwa akijua anafanya nini na kwa dhamira ipi.
Mbaya zaidi wakamualika mhuni wa mitaani Mrisho Mpoto kuangusha vijembe dhidi ya Fr Kitima.

IKULU THATS LOW!

Next time mkialika mtu na mkamlisha nguruwe Ikulu nani atashangaa? Kilichofanyika ni uswahili wa wakuchamba mtu, not expected from Ikulu.

Was it coordinated?
Tunakumbuka hotuba Rais akisema hata waliopinga wapo humu!

Next time mkiita watu wenye heshima zao Ikulu, watahoji mwito huo kama una maslahi kwake mtu binafsi, au wanaenda kuchambwa na Mrisho Mpoto.

Ikulu, mmejishushia hadhi.
Bibi yako amaekuwa mhuni uzeeni, yaan ukilitoa lile lishungi, na dera, anaweza kuwa levo moja na giggy money tu, what a shame
 
Kwanza niseme wazi kuwa , tayari nimeunga mkono juhudi za Mama Samia kuendeleza bandari kwa kuwapa Dp World baada ya kurekebisha vipengele vya mataba.

Hivyo vipengele bado havipo public, but we hold our President accountable kuwa ana nia njema.
Tatizo ni uswahihii uswahili uliotumika kualika washuhudiaji wa utiaji mkataba huo.
Watu wamealikwa wasijue nini kinaendeea.

Fr Kitima tunajua yupo TEC naye alialikwa bila kujua nini kinaendela, na wito kwenda Ikulu si jambo dogo.

Fr. Kitima pamoja na TEC wako on record kuonyesha mapungufu ya mkataba wa awali wa nchi yetu na DP World.

Sasa aliyealika alikuwa akijua anafanya nini na kwa dhamira ipi.
Mbaya zaidi wakamualika mhuni wa mitaani Mrisho Mpoto kuangusha vijembe dhidi ya Fr Kitima.

IKULU THATS LOW!

Next time mkialika mtu na mkamlisha nguruwe Ikulu nani atashangaa? Kilichofanyika ni uswahili wa wakuchamba mtu, not expected from Ikulu.

Was it coordinated?
Tunakumbuka hotuba Rais akisema hata waliopinga wapo humu!

Next time mkiita watu wenye heshima zao Ikulu, watahoji mwito huo kama una maslahi kwake mtu binafsi, au wanaenda kuchambwa na Mrisho Mpoto.

Ikulu, mmejishushia hadhi.
Mimi nafikiri heshima amejiahushia mwenyewe huyo Kitima. Mwisho wa unafiki ni aibu ndicho kilixho mkuta Kitima.
 
Back
Top Bottom