Ikulu mnaalika watu wenye heshima kijanja kisha mnawazodoa

Yesu: Ukialikwa harusini kaa siti za nyuma Ili akija Bwana harusi akuulize unakaaje Siti za nyuma Njoo Siti za mbele ufurahie kalamu

Kwa Kawaida ukiwahi Siti za mbele ndio akina Mrisho Mpoto watakuona na kukuletea dhihaka
Pale mbele alipelekwa na kuambiwa akae hapo na ilipangwa kwa makusudi ili kumdhihaki.

But hao watu wazima tayari wamejifunza from that point.
 
Kitendo hiki ni cha aibu sana na kinashusha heshima ya Ikulu yetu. Nina uhakika Mheshimiwa Rais hakufahamu njia zilizotumika na ratiba ya mambo ilivyo pangwa.

Juzi kulikuwa na hafla ya kutia Saini mkataba wa Bandari.

Baadhi ya watu mashuhuri na wengine kutokea TEC akiwamo Fr. Kitima walialikwa lakini bila kutaja wamealikwa kwenye nini Ikulu kama kadi zilivyoonyesha.

Mwaliko ulionyesha Rais (tena kwa kitisho cha Amiri jeshi mkuu) anakualika na hivyo sio rahisi kukwepa. Sasa mbaya ni kuwatumia wasanii kama Mrisho Mpoto kuwasemanga mle ndani eti hata wale waliopinga wapo humu!

Sio uungwana hata kidogo taasisi yenye heshima kama ikulu kufanya mambo ya kwenye vigodoro au kitchen party. Kwani wange Saini na kutoa hotuba zao bila kuwasemanga waliokuwa wanapingankwa maslahi ya nchi kulikuwa na ubaya gani?

Hili hata watu kama Pascal Mayalla wanaotetea mambo ya ikulu kwa kila kitu wataona sio right!

View attachment 2794452
Unapoteza muda mkuu hauwezi kueleweka...once a tarabunist always a tarabunist ( wagogo husema)
 
Hivi hao TEC ni akina nani mpaka wao wajione miungu watu? wana nn hasa cha zaidi ukilinganisha na binadamu wengine waliokuwepo eneo la tukio? wana nn hasa kinachofanya uwape attention kubwa hivyo? NI BINADAMU TUU AMBAO MWISHO WATAKUFA, WATAZIKWA, WATAOZA NA KULIWA NA FUNZA, waache kujisahau hii dunia sio ya mama zao. Halafu card ya mwaliko unapewa private then unaipiga picha na kuiweka hadharani ni UPUMBAVU na UJUHA kwa mtu anaejitambua.
 
Kitendo hiki ni cha aibu sana na kinashusha heshima ya Ikulu yetu. Nina uhakika Mheshimiwa Rais hakufahamu njia zilizotumika na ratiba ya mambo ilivyo pangwa.

Juzi kulikuwa na hafla ya kutia Saini mkataba wa Bandari.

Baadhi ya watu mashuhuri na wengine kutokea TEC akiwamo Fr. Kitima walialikwa lakini bila kutaja wamealikwa kwenye nini Ikulu kama kadi zilivyoonyesha.

Mwaliko ulionyesha Rais (tena kwa kitisho cha Amiri jeshi mkuu) anakualika na hivyo sio rahisi kukwepa. Sasa mbaya ni kuwatumia wasanii kama Mrisho Mpoto kuwasemanga mle ndani eti hata wale waliopinga wapo humu!

Sio uungwana hata kidogo taasisi yenye heshima kama ikulu kufanya mambo ya kwenye vigodoro au kitchen party. Kwani wange Saini na kutoa hotuba zao bila kuwasemanga waliokuwa wanapingankwa maslahi ya nchi kulikuwa na ubaya gani?

Hili hata watu kama Pascal Mayalla wanaotetea mambo ya ikulu kwa kila kitu wataona sio right!

View attachment 2794452
Waache hila hao maSshoga
 
Kama kitima
Kitendo hiki ni cha aibu sana na kinashusha heshima ya Ikulu yetu. Nina uhakika Mheshimiwa Rais hakufahamu njia zilizotumika na ratiba ya mambo ilivyo pangwa.

Juzi kulikuwa na hafla ya kutia Saini mkataba wa Bandari.

Baadhi ya watu mashuhuri na wengine kutokea TEC akiwamo Fr. Kitima walialikwa lakini bila kutaja wamealikwa kwenye nini Ikulu kama kadi zilivyoonyesha.

Mwaliko ulionyesha Rais (tena kwa kitisho cha Amiri jeshi mkuu) anakualika na hivyo sio rahisi kukwepa. Sasa mbaya ni kuwatumia wasanii kama Mrisho Mpoto kuwasemanga mle ndani eti hata wale waliopinga wapo humu!

Sio uungwana hata kidogo taasisi yenye heshima kama ikulu kufanya mambo ya kwenye vigodoro au kitchen party. Kwani wange Saini na kutoa hotuba zao bila kuwasemanga waliokuwa wanapingankwa maslahi ya nchi kulikuwa na ubaya gani?

Hili hata watu kama Pascal Mayalla wanaotetea mambo ya ikulu kwa kila kitu wataona sio right!

View attachment 2794452
Kitendo hiki ni cha aibu sana na kinashusha heshima ya Ikulu yetu. Nina uhakika Mheshimiwa Rais hakufahamu njia zilizotumika na ratiba ya mambo ilivyo pangwa.

Juzi kulikuwa na hafla ya kutia Saini mkataba wa Bandari.

Baadhi ya watu mashuhuri na wengine kutokea TEC akiwamo Fr. Kitima walialikwa lakini bila kutaja wamealikwa kwenye nini Ikulu kama kadi zilivyoonyesha.

Mwaliko ulionyesha Rais (tena kwa kitisho cha Amiri jeshi mkuu) anakualika na hivyo sio rahisi kukwepa. Sasa mbaya ni kuwatumia wasanii kama Mrisho Mpoto kuwasemanga mle ndani eti hata wale waliopinga wapo humu!

Sio uungwana hata kidogo taasisi yenye heshima kama ikulu kufanya mambo ya kwenye vigodoro au kitchen party. Kwani wange Saini na kutoa hotuba zao bila kuwasemanga waliokuwa wanapingankwa maslahi ya nchi kulikuwa na ubaya gani?

Hili hata watu kama Pascal Mayalla wanaotetea mambo ya ikulu kwa kila kitu wataona sio right!

View attachment 2794452
Kama kitima ndo kaamua kuusambaza huu mwaliko basi naiomba mamlaka imkamate mana anajiona kwamba serikali Iko answerable kwake na ameiweka mfukoni
 
Kitendo hiki ni cha aibu sana na kinashusha heshima ya Ikulu yetu. Nina uhakika Mheshimiwa Rais hakufahamu njia zilizotumika na ratiba ya mambo ilivyo pangwa.

Juzi kulikuwa na hafla ya kutia Saini mkataba wa Bandari.

Baadhi ya watu mashuhuri na wengine kutokea TEC akiwamo Fr. Kitima walialikwa lakini bila kutaja wamealikwa kwenye nini Ikulu kama kadi zilivyoonyesha.

Mwaliko ulionyesha Rais (tena kwa kitisho cha Amiri jeshi mkuu) anakualika na hivyo sio rahisi kukwepa. Sasa mbaya ni kuwatumia wasanii kama Mrisho Mpoto kuwasemanga mle ndani eti hata wale waliopinga wapo humu!

Sio uungwana hata kidogo taasisi yenye heshima kama ikulu kufanya mambo ya kwenye vigodoro au kitchen party. Kwani wange Saini na kutoa hotuba zao bila kuwasemanga waliokuwa wanapingankwa maslahi ya nchi kulikuwa na ubaya gani?

Hili hata watu kama Pascal Mayalla wanaotetea mambo ya ikulu kwa kila kitu wataona sio right!

View attachment 2794452
Waliwasemaje!??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom