Ikulu, Dar | Rais Magufuli awaapisha Viongozi mbalimbali: Dkt. Abbas kuendelea kuwa Msemaji wa Serikali huku akiwa Katibu wa Wizara ya Habari

Yani Magu alivo mkipiga kelele yeye ndo anakanyagia hapo hapo ili muumie zaidi..... Id fake bana kila mtu anaouwezo wa kupiga kelele


MashineNyeusindefu
 
Hapana mkuu leo tutakuwa bize tunafuatilia hotuba ya Mbowe maana leo ataongea na waandishi wa habari, nyie endeleeni tu sanaa na kick za substandard za kutumbua zimeishatukinai kwa sasa.
Hotuba ya mbowe mida gani?
 
Roving Journalist,

Kwanini na wale Wateuliwa wengine wa Bodi na Mabaraza kama akina Profesa Martha Qorro nao hawakuapishwa pamoja na hawa Wenzao? Je, nao walikuwepo leo hapo Ikulu katika hiyo Hafla?
 
Huu ukumbi awamu hii umevunja record ya viapo .............!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…