Abdalla mpemba
JF-Expert Member
- Dec 31, 2016
- 657
- 908
johnthebaptist, Imechuja hiyo :Habari mpya ni mtoto wa nabii kuzuiwa kuingia Marekani kwa sababu ya kutoa uhai wa watu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiishi kwa kutegemea hirizi ni ngumu kuivuaKama hatamtumbua Makonda yote yatakuwa bure tu
Kafanya kosa gani hadi atumbuliwe!!??Kama hatamtumbua Makonda yote yatakuwa bure tu
Kuwanyima watu haki ya kuishi na kutishia,kuhatarisha wengine haki ya kuishi ushahidi anao pompei
Mimba za kupandikiza au?Utakua umelelewa na mzazi mmoja tu,tena wa jinsia ya kike,unaghubu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Wonder why? Ni mara ya kwanza tangu tupate uhuru!
We bibie, Aunt thetallest mbona una ngenye sana?
Hawezi mzee kasharidhika kutembea na hilo zigo la mavi ameufanya msalaba wake.Kama hatamtumbua Makonda yote yatakuwa bure tu
Yaani.. itakuwa maajabu sana akikausha.Ngoja tuone kama leo zitapigwa zile taarabu za kuwananga mabeberu.
Thubutuuu!!!Ngoja tuone kama leo zitapigwa zile taarabu za kuwananga mabeberu.
Hana mpango huo,wala hana mpango na graduates walioko mtaani.Tumechoka na teuzi na hafla za kuampishana..lini ataongeza mishahara ndio tunataka kujua
Sent using Jamii Forums mobile app