BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,015
πππππ hebu tutolee upuuzi wako hapa.
Magufuli alipitishwa kugombea mwaka 2015 baada ya kupitia mchujo mkali sana na matokeo yake tumeyaona wala hatuna haja ya kusema hapa kazi njema zilizofanyika.
Chadema hamna msimamo wowote kupata mgombea bora kumbuka mlivyomzoa lowassa baada ya kupigwa chini na ccm.
Magufuli bado ni chaguo la wengi