T2020JPM
JF-Expert Member
- Sep 8, 2020
- 635
- 263
- Thread starter
- #21
Wapambe ukimaanisha wananchi wenye sifa ya kupiga kura,waliojiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura ndio tupo na tutamchagua. Na hii sio kwa Gwajima tu bali kwa kila mgombea wa nafasi yoyote kutoka chama cha mapinduzi.Huyu pornstar hivi bado naye ana wapambe wakumpigia kura?