T2020JPM
JF-Expert Member
- Sep 8, 2020
- 635
- 263
Nimekuwa nikiona baadhi ya members wakipiga sera na ahadi za Gwajima anazozitoa kwa wana Kawe kuwa hazitekelezeki kwa kigezo cha kushindwa kujenga jengo la kanisa lake.
Tukija upande wa pili tunaona pia CHADEMA nao wameshindwa kujenga jengo la ofisi yao kwa miaka mingi sana zaidi ya kuendeshea shughuli zao za kila siku kwenye servant quarter.
Sasa CHADEMA mtuambie ikiwa mgombea ubunge hafai kuchaguliwa kwa sababu hajajenga jengo la kanisa je mgombea wa urais anayetoka kwenye chama ambacho hakijajenga jengo la ofisi tunamchagua vipi?
Tukija upande wa pili tunaona pia CHADEMA nao wameshindwa kujenga jengo la ofisi yao kwa miaka mingi sana zaidi ya kuendeshea shughuli zao za kila siku kwenye servant quarter.
Sasa CHADEMA mtuambie ikiwa mgombea ubunge hafai kuchaguliwa kwa sababu hajajenga jengo la kanisa je mgombea wa urais anayetoka kwenye chama ambacho hakijajenga jengo la ofisi tunamchagua vipi?