Ikitokea ndugu yako yupo kijijini, na hana fani, hana elimu, we mwambie ukweli tu

Mjini anyimwi Mtu kuja kila mmoja na bahati yake mwache aje Kama kuondoka aondoke mwenyewe usimzuie Mtu kuja.

Ishu kubwa ni chakula pa kulala sio ishu
 
Mjini misosi ipo mingi siku hizi watu wanaponea kwenye misiba, msibani anyimwi Mtu chakula.
Kulala utalala kwenye korido za wahindi mjini hadi siku ramani itasoma.

Usione watu Wana maghorofa mjini wametoka mbali
 
Acha vitisho Utajiri na umasikini unapatikana katika Akili na sio Fani ,Elimu n.k

Mwambie Aje mbona wachaga hawana hizo fani na wanakuja wanakomaa na Biashara Hadi wanatoboa

Live below ur means
Work hard
Get out of debts
Invest
Stay away with bitches Alcohol and Etc.
 
Acha vitisho Utajiri na umasikini unapatikana katika Akili na sio Fani ,Elimu n.k

Mwambie Aje mbona wachaga hawana hizo fani na wanakuja wanakomaa na Biashara Hadi wanatoboa

Live below ur means
Work hard
Get out of debts
Invest
Stay away with bitches Alcohol and Etc.
Wasio na elimu wengi Ndio matajiri,maana hujituma sana kwenye kazi akijua kwamba Hana fani!
 
Mwambie ajifunze kuendesha bodaboda na bajaj aje tu..mjini huku watu Mita 500 Tu tunapanda boda boda au bajaj...huko vijijini kuna abiria WA kwenda Mita 500 Kwa Bajaj?
Si kila mtu anatembea kilomita kadhaa..??
 
Jamaa alianza kulala kwenye korido, kulalia mabox na mbu wakifanya sherehe kwenye mwili wake. Sasa hivi ana maduka matatu na amejenga mjini.
 
Back
Top Bottom