Ikitotanzila
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,409
- 2,263
Mi navyojua lazima imepitiea kuwa mkoa kwanza kisha jiji. Sasa sidhani kama moshi ni mkoa ila tayari wanalazimisha kuwa jiji bila hata kuwa mkoa.
Hii ni sawa na prof ndalichako ana PhD lakini hana masters sijui iliwezekana vipi. Hata slaa ana PhD lakin hana masters. Tueleweshane jamani ili turuke viunzi vingine kama ni wastage of time hata mimi natamani niwe prof bila hata kuwa na masters wala phd.
Hii ni sawa na prof ndalichako ana PhD lakini hana masters sijui iliwezekana vipi. Hata slaa ana PhD lakin hana masters. Tueleweshane jamani ili turuke viunzi vingine kama ni wastage of time hata mimi natamani niwe prof bila hata kuwa na masters wala phd.