Emekha Ikhe
Member
- Jul 14, 2021
- 52
- 84
UFUNGUAJI WA KESI KATIKA MAHAKAMA YA KIMATAIFA YA UHALIFU ICC KWA MUKTADHA WA HALI YA TANZANIA
Naomba nitumie lugha rahisi kwa Ufafanuzi ambayo hata asiye mwanasheria aelewa ili kuendelea kutoa Ushirikiano wa taarifa za uhalifu wa Haki za Binadamu uliotokea Kabla, Wakati na baada ya Kilichoitwa Uchaguzi Mkuu wa tarehe 29th Oktoba 2025. Kama Taifa, Tunaweza kupuuza vitu vingine lakini sio UHAI wa Watu wetu wakiwemo (GEN-Z) ambao kwa zaidi ya asilimia 90% ndio waathirika wakubwa.
Nitoa ufafanuzi kuhusu Utaratibu wa kufungua kesi ya jinai katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), kama sehemu ya kutoa elimu na vilevile kuendelea kutoa wito kwa Watanzania wote ambao huenda wameathirika wa uhalifu wa haki za binadamu bado hawatoi Ushirikiano wa taarifa kwa kuwa hawajui athari zake. Kimsingi taarifa zenye Ushahidi ndio nyenzo wezeshi katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu ili kuwaweka Wshukiwa hatiani na kupigania HAKI YA KUISHI ambayo ipo hatarini Tanzania.
Ufuatao ni utaratibu wa kufungua kesi katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) na unahusisha hatua kadhaa kama ifuatavyo;
Mosi, Kujiridhidha Mamlaka ya Mahakama- (Court Jurisdication)
Kwa Muktadha wa Tanzania, Njia zote tatu zinatumika, Kuna Makundi mbalimbali yametumia njia mbali mbali tajwa hapo juu katika kufikisha malalamiko ya Uhalifu wa Haki za Binadamu Tanzania ili Mahakama ya ICC ichukue hatua dhidi ya wahusika wa Uhalifu. Tumeona Ripoti na documentary mbalimbali ikiwemo ile ya CNN ambayo pasi na shaka itatumika kama sehemu ya ushahidi maana ni chombo cha habari kinachoaminika.
Pili, Uchunguzi wa Tuhuma.
Ikiwa Majaji wameamuru Ushahidi umejitosheleza na kesi kuendelea kwa hatua inayofuata, na mashtaka yamethibitishwa na Majaji kwa hatua ya awali, Kesi itaanza Kusikilizwa mbele ya majaji watatu na mbele ya washitakiwa. Ikimbukwe Mashauri ya aina hii hufanyika hadharani ili Haki ionekane inatendeka. Upande wa Mashtaka lazima uthibitishe hatia ya mshtakiwa bila shaka yoyote. Pande zote mbili, Yaani, Upande wa Mashtaka na upande wa Utetezi (Washitakiwa) unawasilisha ushahidi na kuwachunguza mashahidi kwa Mujibu wa Sheria.
HUKUMU YA MAHAKAMA YA ICC
Baada ya kusikiliza pande zote mbili, Majaji hutoa hukumu au uamuzi wa kutiwa hatiani au kuachiliwa kwa Washitakiwa. Iwapo Washitakiwa watapatikana na hatia, Mahakama ya ICC inatoa hukumu kwa Mujibu wa Sheria, ambayo ni kifungo cha hadi miaka 30 jela au kifungo cha maisha. Mahakama pia inaweza kuagiza fidia kwa waathiriwa na ndio umuhimu kwa waathiriwa kuwa na Mawakili watao wasilisha maslahi yao Mbele ya Mahakama ya ICC .
RUFAA DHIDI YA MAAMUZI YA ICC
Katika Muundo wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu, Kuna hatua ya awali na hatua ya rufaa kama mmoja wapo hajaridhishwa na maamuzi ya awali ya Mahakama ya ICC, Washukiwa kupitia Mawakili wao na Mwendesha Mashtaka wana haki ya kukata rufaa dhidi ya hukumu kwenye hatua ya Rufaa ya Mahakama ya ICC. Ikumbukwe kwamba; Utekelezaji wa hukumu unategemea ushirikiano wa Nchi Wanachama, kwani ICC haina vituo vyake vya magereza.lang=SW style='font-family:"Century Gothic",sans-serif;mso-bidi-font-family:
HITIMISHO
Naomba nitumie lugha rahisi kwa Ufafanuzi ambayo hata asiye mwanasheria aelewa ili kuendelea kutoa Ushirikiano wa taarifa za uhalifu wa Haki za Binadamu uliotokea Kabla, Wakati na baada ya Kilichoitwa Uchaguzi Mkuu wa tarehe 29th Oktoba 2025. Kama Taifa, Tunaweza kupuuza vitu vingine lakini sio UHAI wa Watu wetu wakiwemo (GEN-Z) ambao kwa zaidi ya asilimia 90% ndio waathirika wakubwa.
Nitoa ufafanuzi kuhusu Utaratibu wa kufungua kesi ya jinai katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), kama sehemu ya kutoa elimu na vilevile kuendelea kutoa wito kwa Watanzania wote ambao huenda wameathirika wa uhalifu wa haki za binadamu bado hawatoi Ushirikiano wa taarifa kwa kuwa hawajui athari zake. Kimsingi taarifa zenye Ushahidi ndio nyenzo wezeshi katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu ili kuwaweka Wshukiwa hatiani na kupigania HAKI YA KUISHI ambayo ipo hatarini Tanzania.
Ufuatao ni utaratibu wa kufungua kesi katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) na unahusisha hatua kadhaa kama ifuatavyo;
Mosi, Kujiridhidha Mamlaka ya Mahakama- (Court Jurisdication)
Hatua ya kwanza Kabisa, huanzwa na kujiridhisha Mamlaka ya Mahakama katika kusikiliza jinai/uhalifu husika, hapa lazima Mlalamikaji au Walalamikaji au Mahakama yenyewe ijiridhishe kwamba ina mamlaka kisheria ya kusikiliza jinai au uhalifu wa Haki za Binadamu ambao unalalaikiwa
Pamoja na ukweli kwamba, Mwendesha Mashtaka wa ICC ana mamlaka kamili Kisheria kufungua kesi mwenyewe (Suo Moto) kupitia ofisi yake, Nieleze njia kuu tatu zilizoruhusiwa na sheria za Kimataifa juu ya utaratibu za Kufungua kesi;
Kesi-Kufunguliwa na Nchi Mshiriki, Nchi ambayo imeridhia na kuidhinisha Mkataba wa Kimataifa wa Rome (Rome-Statute) na Mkataba wa uanzilishi wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), inaweza kufungua kesi ICC kwa kuelezea hali halisi ya Uhalifu wa Haki za Binadamu katika eneo lake au mahali pengine kwa Mwendesha Mashtaka wa ICCclass=y2iqfc>Pamoja na ukweli kwamba, Mwendesha Mashtaka wa ICC ana mamlaka kamili Kisheria kufungua kesi mwenyewe (Suo Moto) kupitia ofisi yake, Nieleze njia kuu tatu zilizoruhusiwa na sheria za Kimataifa juu ya utaratibu za Kufungua kesi;
Kesi-Kufunguliwa na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UN Security Council, Baraza la Kufungua kesi kwa kupeleka hali halisi ya Uhalifu wa Haki za Binadamu uliotokea katika nchi yeyote kwa Mwendesha Mashtaka wa ICC, na kutoa mamlaka ya Mahakama ya ICC hata kama uhalifu husika ulitokea katika eneo la nchi isiyo Mwanachama (Non State party)
Kesi-Kufunguliwa na Mwendesha Mashtaka wa ICC, Huu ni Mpango wa Mwendesha Mashtaka mwenyewe (Suo Moto): Mwendesha Mashtaka wa ICC anaweza kuanzisha uchunguzi kwa hiari yake mwenyewe kulingana na taarifa kutoka kwa vyanzo vya kuaminika, ikijumuisha Waathiriwa, Mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs), au vyanzo vingine. Katika kesi kama hizo, Mwendesha Mashtaka anahitaji idhini kutoka kwa majaji (3) wa Awali ili kufungua Jarada la uchunguzi rasmi. style='font-family:"Century Gothic",sans-serif;mso-bidi-font-family:"Times New Roman"
Baada ya Ofisi ya Mwendesha Mashtaka wa ICC kupokea taarifa au rufaa, Ofisi ya Mwendesha Mashtaka hufanya uchunguzi wa awali ili kubaini kama malalamiko ya Uhalifu wa Haki za Binadamu unakidhi vigezo vya Kufunguliwa kwa Kesi katika Mahakama ya ICC, ikiwa ni pamoja na kutathmini mamlaka yake ya kuendesha shitaka husika kwa ajili ya kutoa haki kwa Wathiriwa na adhabu kwa Waliohusika katika Uhalifu wa Haki za BinadamuKesi-Kufunguliwa na Mwendesha Mashtaka wa ICC, Huu ni Mpango wa Mwendesha Mashtaka mwenyewe (Suo Moto): Mwendesha Mashtaka wa ICC anaweza kuanzisha uchunguzi kwa hiari yake mwenyewe kulingana na taarifa kutoka kwa vyanzo vya kuaminika, ikijumuisha Waathiriwa, Mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs), au vyanzo vingine. Katika kesi kama hizo, Mwendesha Mashtaka anahitaji idhini kutoka kwa majaji (3) wa Awali ili kufungua Jarada la uchunguzi rasmi. style='font-family:"Century Gothic",sans-serif;mso-bidi-font-family:"Times New Roman"
Kwa Muktadha wa Tanzania, Njia zote tatu zinatumika, Kuna Makundi mbalimbali yametumia njia mbali mbali tajwa hapo juu katika kufikisha malalamiko ya Uhalifu wa Haki za Binadamu Tanzania ili Mahakama ya ICC ichukue hatua dhidi ya wahusika wa Uhalifu. Tumeona Ripoti na documentary mbalimbali ikiwemo ile ya CNN ambayo pasi na shaka itatumika kama sehemu ya ushahidi maana ni chombo cha habari kinachoaminika.
Pili, Uchunguzi wa Tuhuma.
Hivyo, baada ya Mahakama ya ICC Kupokea malalamiko ya Uhalifu wa Haki za Binadamu kwa njia yoyote kati ya hizo tatu nilizozieleza hapo juu, kinachofuatia ni uchunguzi wa kina wa tuhuma za Uhalifu wa Haki za binadamu. Ikiwa vigezo vyote vya Uchunguzi vimetimizwa, Mwendesha Mashtaka atakusanya ushahidi, atahoji mashahidi mbalimbali wakiwemo waathiriwa wa Matukio ya Uhalifu wa Haki za Binadamu, na kutambua washukiwa wa tuhuma husika. Ikumbukwe, kwa Mujibu wa Sheria, Mwendesha Mashtaka wa ICC, ana wajibu wa kuchunguza kwa Haki bila kupendelea upande wowote, hivyo anawajibu wa kuangalia hali za pande zote mbili za kuwatia hatiani au kuwaondolea hatia kwa usawa ili kuthibitisha Haki.
HATI YA KUKAMATWA KWA WASHUKIWA;Kulingana na ushahidi wa Uhalifu wa Haki za Binadamu uliokusanywa, Mahakama ya ICC Kupitia Mwendesha Mashtaka wa ICC kwa hatua ya awali, atawajibika kutoa Hati ya kukamatwa kwa Washukiwa wa Uhalifu wa Haki za Binadamu. Hivyo Washukiwa wanaweza kufika Mahakamani kwa hiari yao au kwa shuruti, Ikumbukwe kuwa, ICC inategemea Mataifa kukamata na kuletwa kwa washukiwa kama washukiwa hawatatii wito kwa hiari yao.
Hatua ya Kabla ya Kesi (Pre-Trial Stage)Baada ya Washukiwa wa Uhalifu wa Haki za Binadamu kukamatwa au kujitokeza kwa hiari mbele ya Mahakamani ICC, kesi inaanza kwa hatua ya awali ambapo: Mshukiwa wa Uhalifu anafika mbele ya majaji watatu(3), ambao wanathibitisha utambulisho wao na kuhakikisha wanaelewa mashtaka na haki zao kama ambavyo Mahakama nyingi duniani ikiwemo nchini Tanzania hufanya.
Baada ya hapo, Uthibitisho wa Usikilizaji wa Mashtaka unafuatiwa ambapo; Mwendesha Mashtaka anawasilisha ushahidi unaounga mkono kila shtaka dhidi ya washukiwa. Ikumbukwe pia kwamba, Wawakilishi wa kisheria (Mawakili) wa waathiriwa wanaweza pia kushiriki katika Mahakama hii kuwakilisha Maslahi ya wateja wao. Kisha majaji watatu wataamua ikiwa kuna ushahidi wa kujitosheleza kupeleka kesi kwa hatua inayofuata.
KUSIKILIZWA KWA KESI YA MSINGIBaada ya hapo, Uthibitisho wa Usikilizaji wa Mashtaka unafuatiwa ambapo; Mwendesha Mashtaka anawasilisha ushahidi unaounga mkono kila shtaka dhidi ya washukiwa. Ikumbukwe pia kwamba, Wawakilishi wa kisheria (Mawakili) wa waathiriwa wanaweza pia kushiriki katika Mahakama hii kuwakilisha Maslahi ya wateja wao. Kisha majaji watatu wataamua ikiwa kuna ushahidi wa kujitosheleza kupeleka kesi kwa hatua inayofuata.
Ikiwa Majaji wameamuru Ushahidi umejitosheleza na kesi kuendelea kwa hatua inayofuata, na mashtaka yamethibitishwa na Majaji kwa hatua ya awali, Kesi itaanza Kusikilizwa mbele ya majaji watatu na mbele ya washitakiwa. Ikimbukwe Mashauri ya aina hii hufanyika hadharani ili Haki ionekane inatendeka. Upande wa Mashtaka lazima uthibitishe hatia ya mshtakiwa bila shaka yoyote. Pande zote mbili, Yaani, Upande wa Mashtaka na upande wa Utetezi (Washitakiwa) unawasilisha ushahidi na kuwachunguza mashahidi kwa Mujibu wa Sheria.
HUKUMU YA MAHAKAMA YA ICC
Baada ya kusikiliza pande zote mbili, Majaji hutoa hukumu au uamuzi wa kutiwa hatiani au kuachiliwa kwa Washitakiwa. Iwapo Washitakiwa watapatikana na hatia, Mahakama ya ICC inatoa hukumu kwa Mujibu wa Sheria, ambayo ni kifungo cha hadi miaka 30 jela au kifungo cha maisha. Mahakama pia inaweza kuagiza fidia kwa waathiriwa na ndio umuhimu kwa waathiriwa kuwa na Mawakili watao wasilisha maslahi yao Mbele ya Mahakama ya ICC .
RUFAA DHIDI YA MAAMUZI YA ICC
Katika Muundo wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu, Kuna hatua ya awali na hatua ya rufaa kama mmoja wapo hajaridhishwa na maamuzi ya awali ya Mahakama ya ICC, Washukiwa kupitia Mawakili wao na Mwendesha Mashtaka wana haki ya kukata rufaa dhidi ya hukumu kwenye hatua ya Rufaa ya Mahakama ya ICC. Ikumbukwe kwamba; Utekelezaji wa hukumu unategemea ushirikiano wa Nchi Wanachama, kwani ICC haina vituo vyake vya magereza.lang=SW style='font-family:"Century Gothic",sans-serif;mso-bidi-font-family:
HITIMISHO
Watanzania, tunapaswa kujua kwamba tuna deni kubwa la DAMU ZA WATU, katika kuirudisha nchi yetu teule kwenye misingi, Kutokama na Damu na Maafa ya Ndugu na Jamaa zetu, Hakika tuunawajibu wa kihistoria, ni wajibu shurutishi kwetu na ni lazima tuutekeleze ili FIMBO YA MUNGU ISITUCHAPE, bila kufunika Kombe, Mwanaharamu apite.
Tunawajibu wa kuchukua hatua kali za kihistoria kwa Mujibu wa Sheria ili Kutetea Haki za Ndugu na Jamaa zetu waliouwawa kikatili, Waliotekwa na waliopotezwa bila kosa lolote linalostahili walivyotendewa. Naamini Nchi yetu itarudi katika Misingi ya HAKI iletayo AMANI ya kudumu.
Mahakama ya ICC inafanya kazi kwa mujibu sheria Kushughulikia Uhalifu wa Haki za Binadamu unaofanywa na Serikali yoyote ile pale ambapo Mifumo ya Mahakama ya kitaifa haitaki au haiwezi kuchunguza au kushtaki uhalifu huo kwa dhati kama ilivyo nchini Tanzania.
Tunawajibu wa kuchukua hatua kali za kihistoria kwa Mujibu wa Sheria ili Kutetea Haki za Ndugu na Jamaa zetu waliouwawa kikatili, Waliotekwa na waliopotezwa bila kosa lolote linalostahili walivyotendewa. Naamini Nchi yetu itarudi katika Misingi ya HAKI iletayo AMANI ya kudumu.
Mahakama ya ICC inafanya kazi kwa mujibu sheria Kushughulikia Uhalifu wa Haki za Binadamu unaofanywa na Serikali yoyote ile pale ambapo Mifumo ya Mahakama ya kitaifa haitaki au haiwezi kuchunguza au kushtaki uhalifu huo kwa dhati kama ilivyo nchini Tanzania.