Ijue Liberia

Ijue Liberia

Naye alikuwa pandikizi la marekani wakamtumia kisha makamdump kupitia Obasanjo sasa hivi yuko the Hague
Kipindi hicho nilikuwa nasikia news tu kwamba majeshi ya ECOMOG yakiongozwa na Nigeria yameenda tuliza amani,na nasikia walifanya udhalilishaji mkubwa sana na mauaji, je kuna uhusiano kati ya vita vya siera leon na vile vya liberia?kwa kumbukumbu zangu kuna jamaa alikiwa anaitwa Foday sanko hivi nilimsikia sana naye kwa radio ya band mbili.
 
Mimi nadhani afadhali ya Liberia yamepita sasa nchi shwari tofauti na Somalia tangu mama yangu anazaliwa mpaka akawa msichana na sasa anawajukuu bado wanachinjana hakuna kusameheana
Wale wana laana ya Siad barre
72171d750c51b29776e740369303f93d.jpg
 
Ongezea na hii record ya dunia katika wizi wa kura..

Charles D. B. King
Liberia's president from 5 January 1920 – 3 December 1930
220px-CBD_King_of_Liberia.jpg

In 1927 presidential elections according to an official statement, King received 234,000 votes;however, Liberia had 15,000 registered voters at the time. Thus won King the dubious achievement of being listed in the Guinness Book of Records for the most fraudulent election reported in history.
 
Kipindi hicho nilikuwa nasikia news tu kwamba majeshi ya ECOMOG yakiongozwa na Nigeria yameenda tuliza amani,na nasikia walifanya udhalilishaji mkubwa sana na mauaji, je kuna uhusiano kati ya vita vya siera leon na vile vya liberia?kwa kumbukumbu zangu kuna jamaa alikiwa anaitwa Foday sanko hivi nilimsikia sana naye kwa radio ya band mbili.
ECOMOG ni jeshi lililoundwa na ECOWAS katika kufuatilia amani nchi za Liberai na Sierra Leone kwa sababu kama nilivyosema wanashabihiana sana na Foday Sanko alikua kiongozi wa waasi aliyesaini mkataba wa kumaliza maoigano ya wenyewe kwa wenyewe na Rais wa wakati huo akiitwa Ahmad Tejan Kabbah
 
Kipindi hicho nilikuwa nasikia news tu kwamba majeshi ya ECOMOG yakiongozwa na Nigeria yameenda tuliza amani,na nasikia walifanya udhalilishaji mkubwa sana na mauaji, je kuna uhusiano kati ya vita vya siera leon na vile vya liberia?kwa kumbukumbu zangu kuna jamaa alikiwa anaitwa Foday sanko hivi nilimsikia sana naye kwa radio ya band mbili.
bio-and-foday-sankoh-600-x-5121.jpg

picha itakupa ushahidi maana kushoto ni Foday Sanko na Kulia ni Tejan Kabbah baada ya kusaini mktaba wa amani baina ya serikali ya sierra leon na waasi
 
Kipindi hicho nilikuwa nasikia news tu kwamba majeshi ya ECOMOG yakiongozwa na Nigeria yameenda tuliza amani,na nasikia walifanya udhalilishaji mkubwa sana na mauaji, je kuna uhusiano kati ya vita vya siera leon na vile vya liberia?kwa kumbukumbu zangu kuna jamaa alikiwa anaitwa Foday sanko hivi nilimsikia sana naye kwa radio ya band mbili.
B01CFF7C-0304-47C8-AEA6-57667FD44AE2_w640_r1_s_cx0_cy14_cw0.jpg

The national chairman of Liberia’s main opposition Congress for Democratic Change (CDC) party,Nathaniel Farlo McGill, said there’s a strong possibility that party founder and leader George Oppong Weah may consider another run for the presidency in 2017
 
Huyu jamaa bado anakubalika kisiasa??
kwa sasa ni Seneta wa Jimbo moja ila huenda aakawania tena urais ingawa hatajwi tena kuwa na ushindani kama ule wa mwanzo kwa kuwa makamu wa Raisi anatajwa sana

B01CFF7C-0304-47C8-AEA6-57667FD44AE2_w640_r1_s_cx0_cy14_cw0.jpg
 
Ongezea na hii record ya dunia katika wizi wa kura..

Charles D. B. King
Liberia's president from 5 January 1920 – 3 December 1930
220px-CBD_King_of_Liberia.jpg

In 1927 presidential elections according to an official statement, King received 234,000 votes;however, Liberia had 15,000 registered voters at the time. Thus won King the dubious achievement of being listed in the Guinness Book of Records for the most fraudulent election reported in history.
huyu alikua Kiboko wangemoata wazenji ndio wangeisoma namba vizuri duuuuhhhh
 
kwn huyu jamaa aliwafanyaje waliberia?
Jamaa aliingizwa kimapinduzi na wamarekani baadae wamarekani wakashinikiza mapinduzi ya kung'olewa madarakani baada ya kukiuka maagano yao,jamaa walimtenda Kama alivyo wafanya wapinzani wake ikiwemo kukatwa sikio
 
Wanaamini sana ushirikina hata walipomkamata Samuel doe wakati ea wanampiga akawa anajifuta damu kwa mkono askari mmoja akamuua akidhani anataka kutoweka kiuchawi
 
Ongezea na hii record ya dunia katika wizi wa kura..

Charles D. B. King
Liberia's president from 5 January 1920 – 3 December 1930
220px-CBD_King_of_Liberia.jpg

In 1927 presidential elections according to an official statement, King received 234,000 votes;however, Liberia had 15,000 registered voters at the time. Thus won King the dubious achievement of being listed in the Guinness Book of Records for the most fraudulent election reported in history.
Huu haukuwa wizi bali kufuru ya wizi
 
Alikuwa rais wao akaongoza kwa mkono wa chuma vuguvugu likaanza uasi ukaibuka ikawa ni vita ya ndani....huwa ndio mwisho wake maiti yake iliburuzwa mitaani
Jamaa alitumwa na wakubwa zake akapindue nchi waqt huo kiongozi akiwa William torbet Samuel doe akapindua kisha akawatwanga risasi na wale waliomtuma enzi hizo akiwa na cheo cha sergeant.Utawala wake ulikuwa mbovu yakaibuka makundi mengine kama la prince Johnson na Taylor na watu wa prince Johnson ndo walimuua doe.
 
Hata huyu bimkubwa alishakutana wahi onja joto ya utawala wa doe alimtupa rumande baadae akamuachia na kwenda kenya nadhani alikuwa muhadhiri pale au kazi za UN sikumbuki uzuri ila kuna jamaa wa UN walienda kwa doe kumuomba apande meli na kuondoka monrovia yeye akawajibu atapambana mpakani mwisho basi ndo hivyo wakamfanya mishkaki.
 
Na wenyewe wanajuana kuna hao natives kama doe na George usmanu oppong weah khalafu marangirangi kama Taylor na huyu bimkubwa hawa ndo mababu zao walirejeshwa toka USA Taylor alikuwa mtata na alitoroka jela USA kimaajabu a kaja kuibukia Libya kisa Liberia so kuhusu blood diamonds za Sierra Leone siwezi kushangaa kuwa alikuwa na mkono pale coz alikuwa mpigaji kama wapigaji wengine.
 
Back
Top Bottom