Ijue Liberia

Ijue Liberia

254798c2ab67fde8d8b124fbeff10014.jpg
images.jpg
images.jpg
images.jpg
images.jpg
 
hapa ndo najiuliza inamaana sisi black tumeshindwa kujitawala wenyewe kabisa kwa maana hii nchi imeundwa na watumwa waliochwa huru toka america hivyo walikuwa na exposure na jinsi vitu vinavyoenda duniani hivyo wangeweza kuwakomboa weusi wenzao lakini cha kushangaza ndo kwanza walitengeneza utengano kati ya wale natives na hao immigrants na hiki ndo chanzo kikubwa cha mitafaruku yote hiyo. watu weusi tuna ubinafsi wa asili kabisa.
 
hapa ndo najiuliza inamaana sisi black tumeshindwa kujitawala wenyewe kabisa kwa maana hii nchi imeundwa na watumwa waliochwa huru toka america hivyo walikuwa na exposure na jinsi vitu vinavyoenda duniani hivyo wangeweza kuwakomboa weusi wenzao lakini cha kushangaza ndo kwanza walitengeneza utengano kati ya wale natives na hao immigrants na hiki ndo chanzo kikubwa cha mitafaruku yote hiyo. watu weusi tuna ubinafsi wa asili kabisa.
yaani ilikua vita ya weusi na machitara kama unavyoona mtu akienda kusoma wiki mbili tu akirudi na yeye anajiona mmarekani fulani hivi
 
hapa ndo najiuliza inamaana sisi black tumeshindwa kujitawala wenyewe kabisa kwa maana hii nchi imeundwa na watumwa waliochwa huru toka america hivyo walikuwa na exposure na jinsi vitu vinavyoenda duniani hivyo wangeweza kuwakomboa weusi wenzao lakini cha kushangaza ndo kwanza walitengeneza utengano kati ya wale natives na hao immigrants na hiki ndo chanzo kikubwa cha mitafaruku yote hiyo. watu weusi tuna ubinafsi wa asili kabisa.
Fikra zako ni sahihi lakini kumbuka hao waliotoka huko ni miaka ileeee ambayo mtu mweusi kwa huko USA hakuwa na thamani zaidi ya kulimishwa penye mashamba ya pamba na mahindi huo ustaarabu angeupata wapi?Na wengi wao kama inavyojulikana walikuwa aidha wagonjwa au watukutu ndo mnyamwezi akaona hawa niwatafutie kwao.
 
kwa sasa ni Seneta wa Jimbo moja ila huenda aakawania tena urais ingawa hatajwi tena kuwa na ushindani kama ule wa mwanzo kwa kuwa makamu wa Raisi anatajwa sana

B01CFF7C-0304-47C8-AEA6-57667FD44AE2_w640_r1_s_cx0_cy14_cw0.jpg
Kumbe bado Ana ushawishi japo kiasi.!!
 
c96f29c957e6b0febd127870a14e8629.jpg


hapa mwaka 1980 mawaziri wa Tolbert wakiuwawa baada ya Doe kuingia madarakani. sirleaf aliponea chupuchupu.
 
Back
Top Bottom