Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 371,782
- 861,248
Historia fypi ya marehemu
Samuel K Doe alizaliwa Tuzon Liberia mwaka 1951mwezi wa 6 katika maisha yake alibahatika kupata watoto 8 na wajukuu wawili, mkewe aliitwa Nancy
Tar 12.4.1980 alifanya mapinduzi na kumuua rais aliyekuwa madarakani bwana W.R.Tolbert na viongozi wengine wengi kati yao wakiwa marafiki zake wa karibu
Mwaka 1985 alifanya uchaguzi wa figisu na kuingia tena madarakani kama rais wa kidemokrasia
Miaka mitano iliyofuatia alifurahia utawala wake huku akipata ulinzi wa wamarekani kutokana na maslahi binafsi ya vita baridi na soviet
Mwaka 1989 soviet union ilianguka na ndio mwaka huo huo Charles muasi alipofanikiwa kutoroka jela marekani na kukimbilia Ivory Coast ambako alipanga uasi dhidi ya Samuel Doe na hatimaye tar 9.9.1990 aliingia Liberia na kufanikiwa kumkamata Doe na kumpelekeka kambi ya kijeshi ambako aliteswa sana na kukatwa masikio yote huku alichukuliwa video iliyosambazwa dunia nzima
Alifariki uchi wa mnyama akiwa na umri wa miaka 39 tu
Tar 12.4.1980 alifanya mapinduzi na kumuua rais aliyekuwa madarakani bwana W.R.Tolbert na viongozi wengine wengi kati yao wakiwa marafiki zake wa karibu
Mwaka 1985 alifanya uchaguzi wa figisu na kuingia tena madarakani kama rais wa kidemokrasia
Miaka mitano iliyofuatia alifurahia utawala wake huku akipata ulinzi wa wamarekani kutokana na maslahi binafsi ya vita baridi na soviet
Mwaka 1989 soviet union ilianguka na ndio mwaka huo huo Charles muasi alipofanikiwa kutoroka jela marekani na kukimbilia Ivory Coast ambako alipanga uasi dhidi ya Samuel Doe na hatimaye tar 9.9.1990 aliingia Liberia na kufanikiwa kumkamata Doe na kumpelekeka kambi ya kijeshi ambako aliteswa sana na kukatwa masikio yote huku alichukuliwa video iliyosambazwa dunia nzima
Alifariki uchi wa mnyama akiwa na umri wa miaka 39 tu