Hii adhabu alistahili aipate kiongozi mmoja wa nchi hii
Masikini Doe alikufa kifo kibaya sana,halafu alikuwa na kibamia
Liberia kumetulia kwa muda mrefu lkn ukumbuke ni dhamana ya UNMimi nadhani afadhali ya Liberia yamepita sasa nchi shwari tofauti na Somalia tangu mama yangu anazaliwa mpaka akawa msichana na sasa anawajukuu bado wanachinjana hakuna kusameheana
ebana huyo askari wa hapo juu anamuua muasi au?!
Naye alikuwa pandikizi la marekani wakamtumia kisha makamdump kupitia Obasanjo sasa hivi yuko the HagueNaona hata Charles tayler alifata nyayo za Doe, nchi kama ina laana,
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]s
asanteeeeeeeee nitamfikishia Mabibo Makutano
Video imejaa udhalilishaji mkubwa ingia youtube utapata full version mwanzo mwisho hakikisha bundle liko vizuriAsante wakuu Amavubi na @MshanaJr kwa historia nzuri,kweli jamaa walimpa hell la maana ila hakuna njia tunaweza kufanya tukaipata hiyo video alivyoburuzwa mitaani?ikiwezekana PM or utuwekee link ya kuipata.
Teh Teh mkuu umenichekesha sana aiseeMasikini Doe alikufa kifo kibaya sana,halafu alikuwa na kibamia
Unampinga jamaaMkuu usiamini sana kitanda hakizai haramu
hii nchi mbna kama imekaa kitajiri kwenye madini??The beauty of Liberia![]()
![]()
![]()
Asante mkuu umenipa mwanga ntaitafuta.Video imejaa udhalilishaji mkubwa ingia youtube utapata full version mwanzo mwisho hakikisha bundle liko vizuri
Ndo anakoelekea SheinAlikuwa rais wao akaongoza kwa mkono wa chuma vuguvugu likaanza uasi ukaibuka ikawa ni vita ya ndani....huwa ndio mwisho wake maiti yake iliburuzwa mitaani
Huyu mama nimetokea kumpenda kwa jinsi alivyoweza kuimudu nchi hiyo baada ya vita
Huyu jamaa bado anakubalika kisiasa??