Ndio naitaka hiyo video mkuu nione jinsi mtu anavyokufa[emoji35] [emoji35]akiwa na kamba baada ya mahojiano aliburizwa kwenye mitaa ya Monrovia hadi akafa
uwe na bando la kutosha maana utaona akisagika kuanzia nywele hadi kucha za miguu ........nenda kajiunge na bando la chuo kwanza halafu uje utaikuta nimeibandika tayariNdio naitaka hiyo video mkuu nione jinsi mtu anavyokufa[emoji35] [emoji35]
Nina bando la kutosha shusha vituuwe na bando la kutosha maana utaona akisagika kuanzia nywele hadi kucha za miguu ........nenda kajiunge na bando la chuo kwanza halafu uje utaikuta nimeibandika tayari
Kwaio alibuluzwa akiwa bado hai?akiwa na kamba baada ya mahojiano aliburizwa kwenye mitaa ya Monrovia hadi akafa
laana ya nini
Nawezaje kuipata?imekua ngumu kimaadili kuiweka humu maana kama unavyoona alivuliwa nguo zake zooote