Ijue Liberia

Ijue Liberia

Mi nataka nione video jinsi alivyouliwa maana hizi zingine naona maojiano tu
 
Ndio naitaka hiyo video mkuu nione jinsi mtu anavyokufa[emoji35] [emoji35]
uwe na bando la kutosha maana utaona akisagika kuanzia nywele hadi kucha za miguu ........nenda kajiunge na bando la chuo kwanza halafu uje utaikuta nimeibandika tayari
 
uwe na bando la kutosha maana utaona akisagika kuanzia nywele hadi kucha za miguu ........nenda kajiunge na bando la chuo kwanza halafu uje utaikuta nimeibandika tayari
Nina bando la kutosha shusha vitu
 
Hako kanchi sio kakwenda, nimeshtuka.
hakavutii ata

aerial-view-of-the-city-of-monrovia-liberia-taken-from-the-top-of-E7JJ75.jpg
 
Uhalisia wetu
Kutoka hapa kwenye heshima kuu na ulinzi uliotukuka
50f152187a3c150baf6e11e8a9d98f7f.jpg


mpaka kuja kuishia hapa. Kifo cha mateso dhihaka na aibu kubwa huku watesi wako wengine ni watu waliokuwa karibu yako ukila na kunywa nao na pengine ukawasaidia kwa mengi
c96f29c957e6b0febd127870a14e8629.jpg
4487c8b693aadfe98f36663ac4321189.jpg

Kikulacho ki nguoni mwako..ogopa sana anayekuchekea usoni kuna anakulamba kisogo
34bb711549ad2cdc59ba7231be5b88bb.jpg
370d5a981db6b7c6d8a2780fd759e0ad.jpg

Samuel Doe kifo chako kina funzo kubwa kwa watawala wa Afrika
 
Back
Top Bottom