Sanko Wa RUF alikuwa na kamanda wake maarufu kwa aka ya "Mosquito yaani Mbu". Walisumbua sana kwa ushirikiano nae Taylor.Kipindi hicho nilikuwa nasikia news tu kwamba majeshi ya ECOMOG yakiongozwa na Nigeria yameenda tuliza amani,na nasikia walifanya udhalilishaji mkubwa sana na mauaji, je kuna uhusiano kati ya vita vya siera leon na vile vya liberia?kwa kumbukumbu zangu kuna jamaa alikiwa anaitwa Foday sanko hivi nilimsikia sana naye kwa radio ya band mbili.
Kwel anae ua kwa upanga nae hufa kwa upanga![]()
hapa mwaka 1980 mawaziri wa Tolbert wakiuwawa baada ya Doe kuingia madarakani. sirleaf aliponea chupuchupu.
Aliyeendesha harakati hizi alikuwa mjeshi mwenzie thomas weah syenKwel anae ua kwa upanga nae hufa kwa upanga
Yaah! jibu lako linasadifu penye ukweli kabisa tunapata ilmu nyingi sana humu na pia hupunguza kama sio kuondosha stress kabisaaaaa.Kuna elimu kubwa sana humu JF ndio maana ni ngumu kutoka........nimemjibia,,,, Preta si ndio hivyo eeh!!
Ndo maana wanaishi kwa furaha kuliko Liberiawasomali walikataa mtu/pandikizi wa UN kuwaongoza
mkuu huyu mama alikuwa waziri wa fedha wa Tolbert ambaye alikuwa freemasons. kabla ya doe liberia ilikuwa chini ya vizazi vya wamarekani weusi ambao karibu wote walikuwa mafreemasons.
Tangu mlijue neno freemason imeshda sana tangu ni lini alikwambia yeye ni freemason na utwambie misingi ya ufreemason ni ipi?msiwe kama makinda ya ndege chochote kiletwacho na mama yake ni kupanua kinywamkuu huyu mama alikuwa waziri wa fedha wa Tolbert ambaye alikuwa freemasons. kabla ya doe liberia ilikuwa chini ya vizazi vya wamarekani weusi ambao karibu wote walikuwa mafreemasons.
Kwani Doe alipinduliwa na nani....? Thomas auAliyeendesha harakati hizi alikuwa mjeshi mwenzie thomas weah syen
Alifanyiwa ukatili mkubwa sana na huenda walimuua kimakosa kwasababu hawakuja adui yao ni nani.Uhalisia wetu
Kutoka hapa kwenye heshima kuu na ulinzi uliotukuka![]()
mpaka kuja kuishia hapa. Kifo cha mateso dhihaka na aibu kubwa huku watesi wako wengine ni watu waliokuwa karibu yako ukila na kunywa nao na pengine ukawasaidia kwa mengi![]()
![]()
Kikulacho ki nguoni mwako..ogopa sana anayekuchekea usoni kuna anakulamba kisogo![]()
![]()
Samuel Doe kifo chako kina funzo kubwa kwa watawala wa Afrika
hilo suala kwa Liberia lipo kwenye historia yao. huwezi soma historia yao bila kusoma hilo.Tangu mlijue neno freemason imeshda sana tangu ni lini alikwambia yeye ni freemason na utwambie misingi ya ufreemason ni ipi?msiwe kama makinda ya ndege chochote kiletwacho na mama yake ni kupanua kinywa
Unaijua vizuri historia ya uyu mtu mkuu...?Alifanyiwa ukatili mkubwa sana na huenda walimuua kimakosa kwasababu hawakuja adui yao ni nani.
Sawa mkuu japo kuwa historia yake nimeisoma juu juu kweli inaonyesha alikuwa ni mjeuri. lakini swali linakuja huo ujeuri alikuwa anaupata wapi.hilo suala kwa Liberia lipo kwenye historia yao. huwezi soma historia yao bila kusoma hilo.
Ahahahahaha mkuu umeona nini hapo?naona umepata Shaka na hiko kialama,em tufungue macho kaka.
Duh...marehemu kafa na mav*z* yake kicheko kwa muoshaji,prezidaa alikuwa mchafu aisee hata kunyoa hayo madude.walimtesa kwelikweli kumbe walimpunguza na viungo,hapa ni 1990 doe kauawa baada ya kukatwa vidole vya mkono wa kulia, masikia na kakidole kadogo mguuni.
![]()
Ndio hivyo mkuuYaah! jibu lako linasadifu penye ukweli kabisa tunapata ilmu nyingi sana humu na pia hupunguza kama sio kuondosha stress kabisaaaaa.