Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,116
- 8,662
- Thread starter
-
- #121
Mafikeng /Mahikeng ninakoishi Gold digger aka Ben 10Ni kweli kabiasa, unajua hawa wazungu nchi ambazo hakikuwa na masilahi kwao walizipa uhuru mapema sana. Kwa Botswana ilionekana ni jangwa tu na cha maana kilichoonekana ni coal na shaba kidogo upande wa Maun kwenye mpaka na Zambia (Coppet belt)
Hivyo Botswana ilipata uhuru 1966 ikipakana na Zimbabwe 1980, Namibia 1990' na South Africa 1994, so Botswana iliachwa ikiwa haina kitu, eneo lake lililokuwa liko fertile (Mafikeng) likachukuliwa na South Africa
Kaunda wa Zambia ndio alikuwa anawalipa mishahara civil servant wa Botswana (police, walimu nk), na barabara ya kutoka Francistown mpaka Kazungura border post mpaka livingstone-Lusaka imetengenezwa na Kaunda
Ni kweli kabiasa, unajua hawa wazungu nchi ambazo hakikuwa na masilahi kwao walizipa uhuru mapema sana. Kwa Botswana ilionekana ni jangwa tu na cha maana kilichoonekana ni coal na shaba kidogo upande wa Maun kwenye mpaka na Zambia (Coppet belt)
Hivyo Botswana ilipata uhuru 1966 ikipakana na Zimbabwe 1980, Namibia 1990' na South Africa 1994, so Botswana iliachwa ikiwa haina kitu, eneo lake lililokuwa liko fertile (Mafikeng) likachukuliwa na South Africa
Kaunda wa Zambia ndio alikuwa anawalipa mishahara civil servant wa Botswana (police, walimu nk), na barabara ya kutoka Francistown mpaka Kazungura border post mpaka livingstone-Lusaka imetengenezwa na Kaunda
Almasi iligungunduliwa baada ya kupata uhuru na wamehakikisha faida inayopatikana inasaidia wananchi. Wako vizuri sana katika sekta ya elimu, afya na ustawi wa jamii. Wazee wakifikisha miaka 55 wanalipwa state pension kila mwisho wa mwezi ambayo ni sawa na kima cha chini cha mshahara.
Kiazi ndo nini mkuu? Kumbuka huruhusiwi kupiga picha ovyo ovyo, nilipiga nikiwa kwenye gari in slow motion, au nikuwekee video usikie broken english yangu? [emoji23] [emoji23] [emoji23]Samahani Mkuu hizi picha umepiga kwa kutumia kiazi?
Asante sana mkuu.Raisi wa kwanza wa Botswana alikuwa akiitwa Sir Seretse Khama, Baba yake na huyu raisi wa Sasa, yeye anatoka kabila la Bamangw'ato na ukoo wao ni wa kichifu na yeye ndiye alipaswa kuwa chief lakini walimgomea kwa sababu alipotoka shule ulaya alikuja na mwanamke wa Kizungu (Ruth William-Khama), lakini baadae walimwelewa
Walipokuja kugundua Almasi, wakasema kabisa Almasi ni mali ya Serikali ni marufuku kwa mtu yoyote kufanya biashara ya Almasi na kikatngenezwa kikundi special cha kulinda magendo ya Almas kikiitwa Diamond Squad, hao wakikukuta unafanya biashara ya Diamond hawana mjadala
Na Watu wa Kwanza kwenda kufanya kazi ya kukata na kupolish Diamond walikuwa ni Watanzania walijifunza kazi hiyo pale Tuncut Iringa wakiongonzwa na Mzee Msami, mzee mwenye Crystal palace pale ilala, pia ana hotel kama hiyo na jina hilohilo la crystal palace pale Botswana-Gaborone
Kwa hyo imegeuka kuwa jiwe walilolikataa waashi..!
Hivi ndugu zangu mbona mmekuwa mnashadidia sana makalio makubwa!? Hivi makalio yana uhusiano gani na uzuri, usafi na sehemu nyeti za mwanamke. Angalieni sana shetani yuko kaziniWanawake wengi wa botswana ni shidaa , wamefungasha nyuma hatarii....alafu wao ni easy easy tu unapiga mzigo, ila tatizo kubwa kwao ni NGOMA
Asante sana mkuu.
Mafikeng /Mahikeng ninakoishi Gold digger aka Ben 10
Mkuu hata wewe!!!?,niliambiwa kwenye vijiwe kuwa ni gashoTafsiri ya mbana pua ndio umegoma kusema sio? Au ni mtumia ngada?
Wanitogisha wamayuAbakima balinamadako matale gudi madandali [emoji23][emoji23][emoji23]
labda uwe specialist utapata kazi kwa urahisi kdogoZamani, sasa pamekuwa pagumu
labda uwe specialist utapata kazi kwa urahisi kdogo
Safi saana mkuuJamaa wanajitahidi kwenye uaminifu, na welfare ya raia wao, Keki yao wanakula wote, kila mtu yuko happy,
Unaweza kwenda sehemu unakuta pori lakini lina miundo mbinu yote, maji, umeme barabra, shule nk lakini hakuan mtu, na wanasema wanajenga kwa ajili ya baadae, madini yanaweza kwisha au yakakosa soko wao watakuwa tayari wameshawekeza
Wanawajali sna raia wao, kwa mfano watu wenye ukimwi unakuta wanapewa vyakula vya mwezi mzima Bure, hapo wamnapewa Maharage, Sukari na uji wao (Mutogo), ni mchi nzuri sana na mfano wa chi zilizoendelea bila imput ya Wazungu, Iko kwenye level moja na Zimbabwe, South Africa na Namibia kwa kujengwa lakini hizo zote zimejengwa na wazungu bali Botswana na "Waswahili"
haha aha a aAbakima balinamadako matale gudi madandali [emoji23][emoji23][emoji23]
Ng'wanagapi naligwa uligalogi ubhebheVumiliagi nkoi amakewanda