Visa on arrival. Tupo nao kwenye SADC
Bhaleho abha madako gete shigolo aleyo bhalebhagehu,wengi ni weupe na portable
NNGWE
PEDI
THARO
NNE
THLANO
THATARO
SUPA
ROBEDI
ROBONGWE
LESOME
Udaktari unalipa sana huko
Laki mbili na nusu kwa bas mpka laki mbili sabinnauli sh ngapi
Utogilwe madago matale nyanda, ulinyo!Omo ohayela o SHIMBA YA BUYENZE kweli Abhakima bha kwene Bhalenasabini/mad@ko matale?
Wa nn? Watu, paka, au tembo..wote hao ni daktariUdaktari unalipa sana huko
Bhebhe ng'anangwa ganinhage nane gamo gape gamili ndododo na gadako gakispoti....!
Asilimia 100 mkuu. Huku ukipata uhakika wa sehemu ya kufikia maisha utayapenda. Long time mkubwa bado unatembelea BULYANHULU?Niliwah ambiwa kupanga ni garama sana na pia nyumba za kulala wageni ni ghali kuliko maelezo,,inshort sehem ya kuweka ubavu eti ndio garama kuliko chochote...je kuna ukwel au mbwembwe za wabongo
ShogaDuwilaghe imaana ya mbana pua!! What is the meaning of mbana pua?
Kkkkkkkkkkkkkk!!Utogilwe madago matale nyanda, ulinyo!
Viza kule hamnaUnaingia na viza.kuna jamaa kaniambia bila viza hauingii
Asilimia 100 mkuu. Huku ukipata uhakika wa sehemu ya kufikia maisha utayapenda. Long time mkubwa bado unatembelea BULYANHULU?
Mimi nimeona lengo ni kuwaongelea Wasukumu kwa mgongo wa BotswanaLengo la uzi huu kumbe ilikuwa kuongea kilugha? haya wazee.
Niko North Province, South Africa lkn misele kibao Botswana. Umbali ni kama kutoka Geita kwenda Mwanza mjini lisaa limoja na nusu kwa private carUpo mji gani kamanda
Hili jukwaa kila mtu akiongea kilugha hatutafika, nafikiri Mods waruhusu lugha mbili zitumike Swahili & EnglishMimi nimeona lengo ni kuwaongelea Wasukumu kwa mgongo wa Botswana
Hapana mkuu, ukweli jamaa zetu wana mila sawa kabisa na wasukuma. Assume ukitaka ufunge ndoa muda mwingine unatakiwa ufanye ya kimila harafu ifuatie ya kidini (wao wanaita Whites marriage). Pia jamaa walinichokoza kwa lugha ya home na mimi sikutaka watoke na ushindi. Am sorry for that buddyMimi nimeona lengo ni kuwasifia Wasukumu kwa mgongo wa Botswana