The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 7,382
- 8,437
Waswahili wana msemo wao unaosema Kawia ila ufike.
Hivi ndivyo ambavyo inaenda kutokea Kwa Mji wa Kibaya Wilaya Kiteto Mkoa wa Manyara ambapo unaenda ku form Road Junction ya muhimu ambayo itaufanya kuwa Mji wa biashara na utakaopendeza Kwa miundombinu ya Barabara za lami na za Kisasa.
Mji huo unaenda Kupitiwa na Barabara kuu 2 Zinazojengwa Kwa utaratibu wa EPC+F ambazo ni
i/Barabara Kuu ya Tanga-Handeni-Kibaya-Chemba-Kwa Mtoro-Singida km 384.33 ambayo itakuwa ni Barabara kuu ya kuhudumia Bandari ya Tanga na Mikoa ya Kanda ya Ziwa na Nchi za Jirani.
ii/Barabara kuu ya Arusha-Kibaya-Kongwa km 453.42.
Barabara hizi ukiacha kuchangamsha Mji pia itabadili mandhari na taswira ya Mji Kwa sababu Barabara hizo kuu zitajengwa kuuzunguka Mji na kulinda Ring road huku zikiunganishwa na Barabara zinazoenda katikati ya Mji na Barabara zote zitawekwa taa za barabarani na kufanya Usiku kuwa Mchana.Waliofika Sikonge watakuwa ni mashahidi Waziri.
View: https://youtu.be/-QzuEWLg4es
My Take
Huu ndio wakati wa Kuwahi fursa za viwanja Kwa Ajili ya biashara,
Rais Samia kazi iendelee Hadi 2035.
View: https://youtu.be/mZnHMgk_BHE?si=frN8VQctBP48_tG6
Hivi ndivyo ambavyo inaenda kutokea Kwa Mji wa Kibaya Wilaya Kiteto Mkoa wa Manyara ambapo unaenda ku form Road Junction ya muhimu ambayo itaufanya kuwa Mji wa biashara na utakaopendeza Kwa miundombinu ya Barabara za lami na za Kisasa.
Mji huo unaenda Kupitiwa na Barabara kuu 2 Zinazojengwa Kwa utaratibu wa EPC+F ambazo ni
i/Barabara Kuu ya Tanga-Handeni-Kibaya-Chemba-Kwa Mtoro-Singida km 384.33 ambayo itakuwa ni Barabara kuu ya kuhudumia Bandari ya Tanga na Mikoa ya Kanda ya Ziwa na Nchi za Jirani.
ii/Barabara kuu ya Arusha-Kibaya-Kongwa km 453.42.
Barabara hizi ukiacha kuchangamsha Mji pia itabadili mandhari na taswira ya Mji Kwa sababu Barabara hizo kuu zitajengwa kuuzunguka Mji na kulinda Ring road huku zikiunganishwa na Barabara zinazoenda katikati ya Mji na Barabara zote zitawekwa taa za barabarani na kufanya Usiku kuwa Mchana.Waliofika Sikonge watakuwa ni mashahidi Waziri.
View: https://youtu.be/-QzuEWLg4es
My Take
Huu ndio wakati wa Kuwahi fursa za viwanja Kwa Ajili ya biashara,
Rais Samia kazi iendelee Hadi 2035.
View: https://youtu.be/mZnHMgk_BHE?si=frN8VQctBP48_tG6