No actually its about 100 times...., kama cd tu haiwezi kupatikana..., je kupata kibali na kuanzisha tv......? Bro we need to learn to walk before we can run.....
ata mi naisaka lakini naona inaanza kuwa scarce commodity. Cjui kwa nini!
Haitakiwa kabisa kuwa na jina la chama, huoni gazeti la tanzania daima ingawaje linahisiwa kuwa na mahusiano na chadema au baadhi ya viongozi wa chadema lakini wengine hawatambui hilo vingenevyo baadhi ya watu wasingelisoma, si unaona gazeti na redio uhuru nani anasoma/anasikiliza zaidi ya ofisi za umma ambazo zimelazimishwa kununua kopi kila siku.
Hivyo kuita redio/tv kwa jina la chadema kuna athari nyingi sana mojawapo ni kupoteza baadhi ya watazamaji/wasikilizaji hivyo kutoweza kufikia lengo halisi la kuufikia umma kwa wingi.
Sababu nyingine ni kwamba maadui wa chadema wanaweza wakatumia hiyo kama hoja ama propaganda potofu ya kuupotosha umma.
Pendekezo langu: Iitwe Power Radio/Power TV
komea hapo hapo wala usiongezee utaharibu.yaani hilo ndo jina tamu kabisa kulingana na slogan yao ya peoples power.people's tv
Cha kushangaza sijui ni kwanini iwe hivi...., am sure mimi wakinipa copies chache nikazisambaza underground watu wa dvd burners..., siku mbili zitakuwa zimezagaa mtaani kama njugu
Nani ataisikiliza?
Zip ur trouser buddy!
Nani ataisikiliza?
Nani hataisikiliza?Nani ataisikiliza?
Mhh, kama ndo hayo majibu, na wafuasi ndo hawa, basi nitawa benefit of doubt polisi wa arusha.