Inatia moyo sana kuona kuwa CHADEMA wamelipokea rasmi wazo la kuwa na redio na televisheni yao. Iwapo vyombo hivi vya habari vitaanzishwa, binafsi napendekeza viitwe CHADEMA Education Television/Radio. Wengi wetu tutakuwa tayari kuzichangia pamoja na kununua Hisa zake. Tunawatakia CHADEMA mafanikio makubwa katika mpango huu.
Tatizo ni running costs, maana vyombo vingine vinategemea saana mteja mkubwa "Serikali" ili vijiendeshe economically (matangazo mbali mbali), sasa hivi vya CDM vitategemea michango au? kuanzisha is one thing and ku-sustain is another, labda Sabodo awe mlezi wake. lakini wacha vianze they will cross the bridge when they reach there!