Iitwe CHADEMA Education Television

Iitwe CHADEMA Education Television

Inatia moyo sana kuona kuwa CHADEMA wamelipokea rasmi wazo la kuwa na redio na televisheni yao. Iwapo vyombo hivi vya habari vitaanzishwa, binafsi napendekeza viitwe CHADEMA Education Television/Radio. Wengi wetu tutakuwa tayari kuzichangia pamoja na kununua Hisa zake. Tunawatakia CHADEMA mafanikio makubwa katika mpango huu.

Tatizo ni running costs, maana vyombo vingine vinategemea saana mteja mkubwa "Serikali" ili vijiendeshe economically (matangazo mbali mbali), sasa hivi vya CDM vitategemea michango au? kuanzisha is one thing and ku-sustain is another, labda Sabodo awe mlezi wake. lakini wacha vianze they will cross the bridge when they reach there!
 
the radio/television name should not directly consist of the name of the party.....this will avoid the party to be inclined with the vision of the media institution of the party...as its objective will be for profit and awareness programs for all tanzanians irrespective of the party

i think peoples power radio or radio PP are quite clear and will convey the party ideology worldwide

This will be poa the name should not reflect the certain class of civilian.
 
Gud idea sisi walalahoi tuko tayari kuchangia vijisenti vyetu mpaka CCM ikome na iachie ngazi ndipo tutalala!
 
Kupatiwa leseni tu itakuwa ni mtihani mzito ati
 
Kupatiwa leseni tu itakuwa ni mtihani mzito ati

Kama wanachadema tutakuwa bega kwa bega na viongozi wetu hakuna kitakachoshindikana. Kuna uwezekano wakatingisha kiberiti kujaribu kufanya hivyo lakini nguvu ya umma ikisimama mambo yote yanawezekana. Wanachadema tuwe postive.
 
Natumaini CHADEMA itayafanyia kazi mawazo yote yaliyotolewa hapa na kisha kuwafahamisha Watanzania nini kilichoamuliwa na kukubaliwa..
 
Waulizeni CUF wana miaka zaidi ya sita wameomba kibali cha kuanzisha radio na bado hawajapata. Wanapigwa danadana kila siku na TCRA.
 
Waulizeni CUF wana miaka zaidi ya sita wameomba kibali cha kuanzisha radio na bado hawajapata. Wanapigwa danadana kila siku na TCRA.

Kuna tofauti kubwa sana kati ya CDM na cuf. tukichukua tu tofauti ya wanachama ni kuwa wanachadema wakna upeo mkubwa sana wa kujenga hoja, cuf hawawezi kuingi hata kwa milimita. So kwa CDM nina uhakika itawezekana.
 
I hope this a serious issue, i will be of graet help for CHADEMA, because that it what has been lacking.. Peoples power/Nguvu ya umma
 
Haitakiwa kabisa kuwa na jina la chama, huoni gazeti la tanzania daima ingawaje linahisiwa kuwa na mahusiano na chadema au baadhi ya viongozi wa chadema lakini wengine hawatambui hilo vingenevyo baadhi ya watu wasingelisoma, si unaona gazeti na redio uhuru nani anasoma/anasikiliza zaidi ya ofisi za umma ambazo zimelazimishwa kununua kopi kila siku.
Hivyo kuita redio/tv kwa jina la chadema kuna athari nyingi sana mojawapo ni kupoteza baadhi ya watazamaji/wasikilizaji hivyo kutoweza kufikia lengo halisi la kuufikia umma kwa wingi.
Sababu nyingine ni kwamba maadui wa chadema wanaweza wakatumia hiyo kama hoja ama propaganda potofu ya kuupotosha umma.

Pendekezo langu: Iitwe Power Radio/Power TV

Yes,hili ni wazo msumari!Naliunga mkono.

Hiyo TV na Radio vianzishwe haraka sana ili kuepukana na hizi HABARI ZA KUPIKA NA KUCHAKACHUA kama walivofanya Polisi juzi baada ya mauaji ya Arusha.
Nakubaliana na mdau aliyesema vyombo vote visiwe na jina la Chama kuondoa zana ya ubaguzi,upendeleo,etc.
Call it any name in relation to Peoples' Power,Freedom Radio/TV, Demokrasia na vitu kama hivyo.
 
Naafiki ila itapendeza zaidi ikiitwa "People's TV", "People's Radio" na kwa gazeti liitwe "People's Daily" na toleo la Kiswahili liitwe "Mama Yangu Tanzania" jina ambalo linaweza kubadilishwa baada ya kipindi hiki cha mpito cha kuwatoa mafisadi. Makampuni tanzu haya yawe chini ya "People's Media Network - PMN".
Nimeipenda hiyo RED lol!
 
Kwa wakati kama huu ambapo kitu cha msingi kuliko vyote ni watu kujua haki zao za msingi kwanza - basi CDM watakuwa wanafanya jambo la msingi sana.Na kwasababu itawasilisha programu za chama kwa wanachama wake na kukisaidia chama kukuza chachu ya ukuaji wa chama hadi ngazi ya chini.Ni wazo zuri na hasa ukizingatia kwamba - upo ukwasi mkubwa katika kutangaza habari muhimu za vyama staili ya CDM.Kama huo ndio mwondoko basi sina budi kupongeza uongozi mzima wa Chadema.Peoples Power
 
TCRA hawana huo ubavu wa kutotoa kibali cha kuanzisha TV na Redio kwa CHADEMA.
Mawazo yote yako okey!ila kwa mtazamo wangu naona vyombo vyetu hivyo vya habari tuite hivi;brave television na redio iitwe brave redio.hii ni kutokana na misimamo tuliyonayo sisi tusio ogopa SIMBA wala CHUI kwenye pori.
wanajf tupo tayayali hata kuchangia.
 
Waulizeni CUF wana miaka zaidi ya sita wameomba kibali cha kuanzisha radio na bado hawajapata. Wanapigwa danadana kila siku na TCRA.

WEE VIPI?HISTORIA imepita wapi kila jambo hubadilika hapa dunia,tazama Tunisia watu wanadai haki zao leo ni miaka mingapi imepita?Sudani kusini na kaskazini je?CCM KUSHINDA kwa KISHINDO je uchaguzi uliopita wameweza kushinda kwa kishindo?
LAKININI pia CUF sio CHADEMA,upo apoooooooooooooo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Bora kama ni kuipa jina sio la Chama,kwani yapo majina mengi tu ,mnaweza kuiita Mwiba :clap2:
 
Back
Top Bottom