Iitwe CHADEMA Education Television

Iitwe CHADEMA Education Television

Naafiki. TV itapendeza ikiitwa "People's TV", redio "People's Radio", gazeti "People's Daily" - kwa toleo la Kiingereza na kwa toleo la Kiswahili liitwe "Mama Yangu Tanzania" kwa kipindi cha mpito cha kuwatoa mafisadi baada ya hapo jina laweza kubadilishwa. Kampuni tanzu hizi ziwe chini ya "People's Media Network - PMN".
 
i am a bit skeptkl on the use of english vocs.how about umma tv, radio umma. tusisaha gazeti na jarida very imprtant.gazeti la umma.
 
Hivi mpo nchi gani ndugu zangu?

Kwa Tanzania hii hakuna chama cha upinzani kitakachopewa kibali cha kuanzisha kituo cha Redio wala TV na ata tukiassume kingepewa bado kisingeruhusiwa kutangaza habari zenye lengo la kuwabeba wamiliki/kikundi kinachoimiliki kisiasa na pindi hilo lisingezingatiwa kituo hicho kingefungiwa haraka.
 
the voice of the people TV!, POWER TELEVISHENI, PEOPLES TELEVISHENI! SOMETHING LIKE THAT YO!
 
Naafiki ila itapendeza zaidi ikiitwa "People's TV", "People's Radio" na kwa gazeti liitwe "People's Daily" na toleo la Kiswahili liitwe "Mama Yangu Tanzania" jina ambalo linaweza kubadilishwa baada ya kipindi hiki cha mpito cha kuwatoa mafisadi. Makampuni tanzu haya yawe chini ya "People's Media Network - PMN".
 
peoples power tv/radio itakaa vizuri sasa sijui hujuma wataenda kuzifanyia wapi hawa majangiri wa demokrasia ccm.........:A S-fire1:
 
....shoudl have a name with such words as '''PEOPLES POWER'' or something like that!
I support the name like Peoples power or NGUVU YA UMMA, or it should a slogan that runs quite often.............
 
and JF WILL CHANGE TO ......PIP[OZPAWA FORUMS........ teh e
 
i am a bit skeptkl on the use of english vocs.how about umma tv, radio umma. tusisaha gazeti na jarida very imprtant.gazeti la umma.
no...mimi sikubaliani....kwani magazeti na blogu tayari tunayo... ni namna ya kuyaboresha tu....jamiiforums,tanzania daima,mwanahalisi. etc haya ni kuyaboresha...bado redio na kuhusu TV tuna ubia na channel 1.0
kwa hiyo kilichobaki ni kidogo mno
 
Hii imekaaje wadau? "LIBERTY TV". Naona ni jina fupi na rahisi kutamka. Nikipata jingine nitaleta
 
yes,Peoples' power is the perfect one.Nakuunga mkono
 
Naunga mkono hoja kwamba isitumie jine la chama au slogan yake. kuna majina mengi kama "Televisheni ya Umma" au "Redio ya Umma" yanaweza kuwa na mantiki kwani si kwamba yatabeba agenda moja tu, pia media hizo ziwe balanced kwa kusimamia ukweli hata kukosoa chadema pia ili kudhihirisha dhana ya utawala bora unaozingatia uadilifu na sheria.
 
Naunga mkono hoja kwamba isitumie jine la chama au slogan yake. kuna majina mengi kama "Televisheni ya Umma" au "Redio ya Umma" yanaweza kuwa na mantiki kwani si kwamba yatabeba agenda moja tu, pia media hizo ziwe balanced kwa kusimamia ukweli hata kukosoa chadema pia ili kudhihirisha dhana ya utawala bora unaozingatia uadilifu na sheria.

Tunapopendekeza majina ya hivyo vituo ni muhimu pia tukakumbuka kuwa walengwa si wasomi pekee bali hata wale ambao hawakubahatika kwenda shule pia wanahusika.

Kwangu mimi hili kundi la pili ndio hasa linalohusika kwani wasomi wao tayari wana upeo wa kujua mustakabali wa nchi.

Sasa kama tutapendekeza majina magumu magumu hakika hatutaweza kufikia lengo la kuuelimisha umma ambao asilimia kubwa hawakubahatika kupata elimu ambayo wengi walioko humu wamebahatika.
 
Naafiki. TV itapendeza ikiitwa "People's TV", redio "People's Radio", gazeti "People's Daily" - kwa toleo la Kiingereza na kwa toleo la Kiswahili liitwe "Mama Yangu Tanzania" kwa kipindi cha mpito cha kuwatoa mafisadi baada ya hapo jina laweza kubadilishwa. Kampuni tanzu hizi ziwe chini ya "People's Media Network - PMN".

Nakukubali
 
Back
Top Bottom