Ihefu yauchagua kutumia uwanja wa CCM Liti wa Singida kwa mechi zao za nyumbani

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,817
4,568
RASMI Ihefu SC imehamia mkoani Singida baada ya kuuchagua uwanja wa CCM Liti kama uwanja wao wa nyumbani kwa msimu mzima.

Leo watendaji wote wa timu za ligi kuu wametumiwa taarifa rasmi ya kuwa michezo yote ya nyumbani ya Ihefu SC itachezwa CCM Liti, Singida.

Nini kimejificha kwenye sakata la Singida na Ihefu? Mbona kama siasa mchezoni hizi?
 
Nilisema hili lingekuja kutokea. Imebaki sasa kwa SFG kufanyiwa figisu za kuwatimua kutoka Singida.

Wengine tulionyesha wasiwasi na umiliki wa hiyo Singida Big Stars na Singida Fountain Gates halafu hao wachaa mbuzi wakawa wanajifanya kama vile hawaoni wala hawasikii. Tutegemee Ihefu kuhamishiwa Singida (bila idhini ya wadau wakuu wa Mbarali) halafu SFG kutimuliwa kwa nguvu kutoka Singida kama siyo kufanyiwa fitna hadi ishuke daraja.

Kuna kuogopa wanasiasa walio nyuma ya hili sakata kiasi kwamba sheria na kanuni zinazohusiana na umiliki na uuzaji wa timu na wachezaji zimefumbiwa macho. Mpaka sakata hili liishe tutaona na kusikia mengi.
 
Dahhh! Wanasiasa wataua football ya Tanzania, Nchemba ana uhuni sana huyu jamaa. Kahamishia wachezaji wake wote Ihefu baada ya kuinunua. SFG inaenda kufa.
Uhuni wa waziwazi. Watu wa Fountain Gates wameingia cha kike. Natamani waamue kupambania haki zao, liwalo na liwe
 
RASMI Ihefu SC imehamia mkoani Singida baada ya kuuchagua uwanja wa CCM Liti kama uwanja wao wa nyumbani kwa msimu mzima.

Leo watendaji wote wa timu za ligi kuu wametumiwa taarifa rasmi ya kuwa michezo yote ya nyumbani ya Ihefu SC itachezwa CCM Liti, Singida.

Nini kimejificha kwenye sakata la Singida na Ihefu? Mbona kama siasa mchezoni hizi?
Timu ya maderu inarnda kuweka masikani kalibu na kwao Kila lenye heri
 
RASMI Ihefu SC imehamia mkoani Singida baada ya kuuchagua uwanja wa CCM Liti kama uwanja wao wa nyumbani kwa msimu mzima.

Leo watendaji wote wa timu za ligi kuu wametumiwa taarifa rasmi ya kuwa michezo yote ya nyumbani ya Ihefu SC itachezwa CCM Liti, Singida.

Nini kimejificha kwenye sakata la Singida na Ihefu? Mbona kama siasa mchezoni hizi?
Wakome kutumia majina ya Mbeya hao mafala kuanzia Ihefu na Mbeya kwanza zitumie majina ya hao waliozinunua.
 
Back
Top Bottom