babu onyango
JF-Expert Member
- Jan 12, 2023
- 334
- 813
Hawa ndugu zetu sijui wamelogwa na nani, Wakati dada zao wanautumia chamazi kama uwanja wa nyumbani wao wamekimbilia mkoani Morogoro kisa wanaogopa kulogwa.
Walikimbilia CCM kirumba mkoani Mwanza wakaishia kudondosha points, sasa wamehamia Morogoro wakizani labda wataepuka vipigo.
Niwaambie tu ya kwamba Uwanja hauchezi mpira, mtatangatanga kote lakini mkikutana na Yanga ni kipigo tu km cha mbwa mwizi na Ubingwa mtaishia kuusikia tu.
Cc. RAGE
Walikimbilia CCM kirumba mkoani Mwanza wakaishia kudondosha points, sasa wamehamia Morogoro wakizani labda wataepuka vipigo.
Niwaambie tu ya kwamba Uwanja hauchezi mpira, mtatangatanga kote lakini mkikutana na Yanga ni kipigo tu km cha mbwa mwizi na Ubingwa mtaishia kuusikia tu.
Cc. RAGE