Igunga: Wazee Wampongeza Rais Dkt. Samia kwa Sheria ya Bima ya Afya kwa Wote

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
May 16, 2020
1,900
944

IGUNGA: "WAZEE WAMPONGEZA RAIS DKT. SAMIA KWA SHERIA YA BIMA YA AFYA KWA WOTE"

Mbunge wa Jimbo la Igunga Mhe. Nicholaus George Ngassa akiwasikiliza Wazee wa Kata ya Isakamaliwa kwenye Kikoa cha Wazee.

Mhe. Ngassa (MB) ametumia siku ya Sikukuu ya Noeli (Krismasi) kuongea na Baraza la Wazee wa Kata ya Isakamaliwa. Aidha Mhe. Ngassa (MB) ametumia majadilinao ya Wazee kutoa elimu juu ya Sheria ya Bima ya Afya kwa Wote.

Wazee wa Kata ya Isakamaliwa Wamempongeza Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kusaini Mswahada wa Bima ya Afya kwa Wote na kuwa Sheria.

#KAZI NA MAENDELEO
#KAZI IENDELE
#MAMA SAMIA KAZINI
#MITANO5TENA
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2023-12-25 at 16.43.44.jpeg
    WhatsApp Image 2023-12-25 at 16.43.44.jpeg
    473.6 KB · Views: 1
  • WhatsApp Image 2023-12-25 at 16.43.45.jpeg
    WhatsApp Image 2023-12-25 at 16.43.45.jpeg
    613.6 KB · Views: 1
  • WhatsApp Image 2023-12-25 at 16.43.45(1).jpeg
    WhatsApp Image 2023-12-25 at 16.43.45(1).jpeg
    901.3 KB · Views: 1
  • WhatsApp Image 2023-12-25 at 16.43.46.jpeg
    WhatsApp Image 2023-12-25 at 16.43.46.jpeg
    832.3 KB · Views: 1
  • WhatsApp Image 2023-12-25 at 16.43.47.jpeg
    WhatsApp Image 2023-12-25 at 16.43.47.jpeg
    670.2 KB · Views: 1
Back
Top Bottom