Bima ya Afya kwa Wazee ni Muhimu sana tuwanze wazee wetu

Makamura

JF-Expert Member
May 19, 2022
356
550
Kuna asilimia kubwa ya wazee ambao hawana vyanzo vya pesa wala uwezo wa kujigharamia matibabu, na Hawana msaada kabisa Bima ya kwa wazee izingatiwe.

Serikali ihakikishe hawa wazee wasio na uwezo wanapata matibabu vema, na sio kauli vivuli kwasababu wanahitaj sana hili.

Tuwape upendo wazee wetu,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom