johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,965
- 141,968
IGP Sirro amesema atawashtaki kwa wakurugenzi wa halmashauri wenyeviti wazembe wa serikali za mitaa ili ikiwezekana waondolewe na nafasi zao kujazwa na watu wengine.
Sirro amesema wenyeviti wa serikali za mitaa wanapaswa kusimamia ulinzi katika maeneo yao na kwamba hapa Tanzania askari mmoja anahudumia watu 2000 jambo ambalo ni gumu.
Kimataifa askari mmoja anapaswa kuhudumia watu 450 amesema Sirro.
Chanzo: ITV habari
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Sirro amesema wenyeviti wa serikali za mitaa wanapaswa kusimamia ulinzi katika maeneo yao na kwamba hapa Tanzania askari mmoja anahudumia watu 2000 jambo ambalo ni gumu.
Kimataifa askari mmoja anapaswa kuhudumia watu 450 amesema Sirro.
Chanzo: ITV habari
Nawasalimu kwa jina la JMT!