Dionisi M. Thomas
Member
- Jan 10, 2013
- 9
- 2
kwani hakuna watu wengine wenye sifa kama walizonazo hao, au zaidi yao?
This is disgusting. Kinachoendelea hapa TZ ni kwamba hii serikali ya ccm imeshatuona sisi wananchi ni wapuuzii tu na hatuwezi kuwafanya lolote, wameshaona hata wakituchomeka vijiti HATUWEZI kuwafanya lolote...
Pia, na sisi waTZ tumeendelea kuwa mazuzu mno na wapuuzii tu kwa kuendelea kuwaachia hawa mbwea kuendelea kututawala. Inatupasa tuwatoe madarakani kwa nguvu hawa manyang'au....
Sifa kubwa ya kuongezewa mkataba ni kwamba anaujasiri wa kuuwa.
kingine anafanya kazi kwa vimemo toka Lumumba.
pia ni kada mwaminifu wa CCM.!!
Ni kwa mujibu wa habari kutoka magazeti mbalimbali leo asubuhi. Inadaiwa kuwa Ikulu imemwongezea mkuu wa jeshi la police nchini IGP Said Mwema muda wa utumishi serikalini baada ya muda wake wa awali kumalizika.
My take:
Inaonekana IGP amefanya kazi nzuri ya kuidhibiti CHADEMA katika harakati zake.
================
Kutoka kwa members wengine:
================
Chunga kauli zako,lete points za msingi kama huna kaa kimya hutoulizwa
ukweli ni nini we gamba?
Maskini Jeshi la Polisi! Nawahurumia hawa jamaa kwa kuwa wao hufanya kazi kwa amri kama mashine. Nina uhakika kuna polisi wengi tu ambao dhamira zao zinawasuta kwa kile wanachotumwa kutekeleza na CCM Lakini inabidi wafanye kwa kuwa jeshi huendeshwa kwa amri.Ipo siku wataamua kuzitii dhamira zao.Ikiwa kweli IGP atakuwa kaongezewa mkataba; Lengo litakuwa ni ili Atimize lengo maalum.Pengine kuisaidia CCM katika mikakati yenye utata.Mungu ana uwezo zaidi ya wote.Hakika atatunusuru tu.