pole kwa kuishi chini ya muamvuli wa laana.Hii nchi aliyeilaani amekufa!
Ni kwa mujibu wa habari kutoka magazeti mbalimbali leo asubuhi.Inadaiwa kuwa Ikulu imemwongezea mkuu wa jeshi la police nchini IGP Said Mwema muda wa utumishi serikalini baada ya muda wake wa awali kumalizika.
My take; Inaonekana IGP amefanya kazi nzuri ya kuidhibiti CHADEMA katika harakati zake.
Ni kwa mujibu wa habari kutoka magazeti mbalimbali leo asubuhi.Inadaiwa kuwa Ikulu imemwongezea mkuu wa jeshi la police nchini IGP Said Mwema muda wa utumishi serikalini baada ya muda wake wa awali kumalizika.
My take; Inaonekana IGP amefanya kazi nzuri ya kuidhibiti CHADEMA katika harakati zake.
Pia kwa kuwa ni MUISLAMSifa kubwa ya kuongezewa mkataba ni kwamba anaujasiri wa kuuwa.
kingine anafanya kazi kwa vimemo toka Lumumba.
pia ni kada mwaminifu wa CCM.!!
Katika kile kilichodaiwa Rais kutaka baadhi viongozi wa Jeshi la Polisi kuendelea kuwa kazini mpaka 2015 amewapa mkataba wa miaka miwili Mkuu wa Jeshi hilo Said Ally Mwema, Seleman Kova, Michael Kamhanda ambao kisheria wanapaswa kustaafu ifikapo Julay Mosi imekaaje hii!
Pia kwa kuwa ni MUISLAM
Nilijua tu, hadi kamuhanda?