Ifike muda wanaume mjipende na kujiheshimu

Ifike muda wanaume mjipende na kujiheshimu

kiss ov love

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2025
Posts
9,363
Reaction score
16,095
Kuna rafiki yangu alinihadithiaga kuna alikuwa na appointment na shemeji sasa akarequest bolt ya bodaboda hadi hapo kwenye hiyo Lodge. Akaja boda akapanda hadi sehemu husika, akaachwa getini kabisa.

Sasa amekaa siku siyo nyingi anaona namba ngeni imempigia, akapokea akajitambulisha yeye ni yule boda aliyempeleka siku flani kule eneo flani, kama ana muda waongee, akamwambia atamcheki, akampotezea.

Baadae akampigia akamuuliza mbona hajamcheki akamwambia alikuwa bize, akaanza kumuuliza kama ameolewa, akamjibu tu kistaarabu hajaolewa ila yupo kwenye mahusiano. Akamwambia dah! Nilikuwa nataka nijaribu bahati yangu.

Wanaume hamna nidhamu ya uoga, wala kujali afya zenu kabisa mtu umempeleka hadi Lodge na unajua kabisa kinachoenda kutendeka humo na bado unamtongoza, WTF


Cc. secretarybird
holoholo
Mshangazi dot com
Nomadix
Nusratt
Poor Brain
Mbaga Jr
 
Kuna rafiki yangu alinihadithiaga kuna alikuwa na appointment na shemeji sasa akarequest bolt ya bodaboda hadi hapo kwenye hiyo Lodge. Akaja boda akapanda hadi sehemu husika, akaachwa getini kabisa.

Sasa amekaa siku siyo nyingi anaona namba ngeni imempigia, akapokea akajitambulisha yeye ni yule boda aliyempeleka siku flani kule eneo flani, kama ana muda waongee, akamwambia atamcheki, akampotezea.

Baadae akampigia akamuuliza mbona hajamcheki akamwambia alikuwa bize, akaanza kumuuliza kama ameolewa, akamjibu tu kistaarabu hajaolewa ila yupo kwenye mahusiano. Akamwambia dah! Nilikuwa nataka nijaribu bahati yangu.

Wanaume hamna nidhamu ya uoga, wala kujali afya zenu kabisa mtu umempeleka hadi Lodge na unajua kabisa kinachoenda kutendeka humo na bado unamtongoza, WTF


Cc. secretarybird
holoholo
Mshangazi dot com
Nomadix
Nusratt
Poor Brain
Mbaga Jr
Wanaume wa siku hizi, hizi mbanga wanazo kabisa.
Tena wengine sio bodaboda kama secretarybird, mwanaume mwingine anakuokoa katikati ya kundi la wanaume waliokubaka na bado siku 4 au 5 mbele ataomba game tena bila condom.

Wanaume, hizi nyege zenu huwa hamna pa kuzipeleka?
 
Wanaume wa siku hizi hizi mbanga wanazo kabisa.
Tena wengine sio bodaboda kama secretarybird, mwanaume mwingine anakuokoa katikati ya kundi la wanaume waliokubaka na bado siku 4 au 5 mbele ataomba game tena bila condom.

Wanaume, hizi nyege zenu huwa hamna pa kuzipeleka?
Wanaume wengi watakufa kwa ngoma
 
Kuna rafiki yangu alinihadithiaga kuna alikuwa na appointment na shemeji sasa akarequest bolt ya bodaboda hadi hapo kwenye hiyo Lodge. Akaja boda akapanda hadi sehemu husika, akaachwa getini kabisa.

Sasa amekaa siku siyo nyingi anaona namba ngeni imempigia, akapokea akajitambulisha yeye ni yule boda aliyempeleka siku flani kule eneo flani, kama ana muda waongee, akamwambia atamcheki, akampotezea.

Baadae akampigia akamuuliza mbona hajamcheki akamwambia alikuwa bize, akaanza kumuuliza kama ameolewa, akamjibu tu kistaarabu hajaolewa ila yupo kwenye mahusiano. Akamwambia dah! Nilikuwa nataka nijaribu bahati yangu.

Wanaume hamna nidhamu ya uoga, wala kujali afya zenu kabisa mtu umempeleka hadi Lodge na unajua kabisa kinachoenda kutendeka humo na bado unamtongoza, WTF


Cc. secretarybird
holoholo
Mshangazi dot com
Nomadix
Nusratt
Poor Brain
Mbaga Jr
Huyo bibie alimkubalia bwana bodaboda na bwana bodaboda alimkula huyo bibie.

Siku nyingine akikuletea story kama hiyo mwambie akawadanganye watoto wake wachanga 😎.
 
Wanaume wa siku hizi, hizi mbanga wanazo kabisa.
Tena wengine sio bodaboda kama secretarybird, mwanaume mwingine anakuokoa katikati ya kundi la wanaume waliokubaka na bado siku 4 au 5 mbele ataomba game tena bila condom.

Wanaume, hizi nyege zenu huwa hamna pa kuzipeleka?

Bro, Nusratt hebu na ww jiweke kwenye nafsi ya Kiume uone kama utaweza kuhimili genye zikipanda.

Sometimes is tough sana na sio kama tunajiendekeza.
 
Back
Top Bottom