Ifike muda habari za vibustani vikomeshwe...

Ifike muda habari za vibustani vikomeshwe...

Unampa Vaislay ushindi wa mezani mchana kweupe? Alivo king'ang'anizi utajuta miaka mia. Adhawaiz unambie nisimpe ile makitu ya Popo kajambia mbingu.

Mwache abebe kombe na mie nipumue
 
Last edited by a moderator:
Mwache abebe kombe na mie nipumue

Popote ulipo Vaislay, hebu njoo uusome huu waraka wa Khantwe kwa babu ODM. Kazi ni kwako.....

Ukishausoma, ukam zis wei chapchap sana. Tena ukuje without ili tusipoteze muda.
 
Last edited by a moderator:
Hakuna cha shetani
Tabia yako inajulikana uongo huu
Na mm utaniona mbaya kwa kusema ukweli
Ntasimamia ukweli tu Tized njoo useme huyu babu dk kumi zilizopita alikuwa Khantwe now Vaislay

Aisee we binti ni mbea sijawah kuona
 
Last edited by a moderator:
Hakuna cha shetani
Tabia yako inajulikana uongo huu
Na mm utaniona mbaya kwa kusema ukweli
Ntasimamia ukweli tu Tized njoo useme huyu babu dk kumi zilizopita alikuwa Khantwe now Vaislay

Wewe ni mke wa Yuda Eskariote. Hufai kama Delilah. Tena ukikutana na mimi lazima nikubake kama Mbasha.
 
Last edited by a moderator:
Mentor hakika wewe ni farijio langu kila mara,unanifuta machozi pale ninapolia...come zis way pliz nahisi kumchukia Asprin..
anachepuko jingine kumbe mbaya Zaidi ni mdogo wangu Khantwe!!!!!
sitakukana tena Mentor njooo

I'll be your shoulder when you cry...
BAK tafadhali do the needful kwa huyu mrembo!



Shikamoo babu Asprin!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Wewe uko kwenye ndoa? If not then hau qualify kushauri walio kwenye ndoa...let alone kuwa blame na kuwanyooshea kidole..stress za ndoa wanazijua wanandoa na Wengine bila kuchepuka wange kufa kwa stress

Awe kwenye ndoa au laa..haimkatazi kuongea ukweli!...

Kutokana na imani yangu Mungu aliumba dunia kwa maneno(kutoa kauli) na akasema iwe bahari na ikawa...hivyo hivyo ukisema mchepuko kwako lazima utakwenda tuu nje yandoa maana ulimi huumba.

Eti kisa tress, mbona kazi za maofisini hamuachi na ndiko kuna stress balaa?!...

Mimi ninamwaka wa tatu ktk ndoa, niliweka nadhiri siku niliyofunga ndoa nikamwambia Mungu huyu ndo mke uliyenipatia wengine wote niwaone kama mama zangu...full stop sijawahi tongoza na wala sifikilii hilo

Vishawishi vipo kama binadamu pia stress zipo tena kuna mwaka nilinuniwa miezi mitatu sijapewa papuchi lakini daima nakumbuka agano langu nililoweka kanisani....
 
mwanume anapolala si kwamba anakupenda au moyo wake upo na wewe ..... mwanaume moyo wake unalala pale anapopenda.. hilo nikurekebishe kurudi kulala kwa mkewe ni kautaratibu tu........
back to topic wanaotembea na waume za watu na kuharibu familia yake ni ubinafsi na mimi huwa naona ni unyama hasa kama atakuwa na mtoto au wtoto,... ila kama anatembea nae kwa starehe na mapenzi sawa kabisa waendelee tu ....

MANENO YANGU SI SHERIA..........
 
Back
Top Bottom