m nakupenda daima...kama mikwaruzano ipo hata meno yanakwaruzana....
Wewe ni mke wa Yuda Eskariote. Hufai kama Delilah. Tena ukikutana na mimi lazima nikubake kama Mbasha.
Hunibaki ng'o refer my signature
Haaaaaaaaaa
Aiseee hadi kubaka unabaka....?!
Ndo tabia za huyu mumeo
Nashangaaaaaaa
sikutaki tenaa..tema mate barabarani yakikauka usiiite tena
hahahaha mi nitakuwa nawatibulia maji tu lol
mwanume anapolala si kwamba anakupenda au moyo wake upo na wewe ..... mwanaume moyo wake unalala pale anapopenda.. hilo nikurekebishe kurudi kulala kwa mkewe ni kautaratibu tu........
back to topic wanaotembea na waume za watu na kuharibu familia yake ni ubinafsi na mimi huwa naona ni unyama hasa kama atakuwa na mtoto au wtoto,... ila kama anatembea nae kwa starehe na mapenzi sawa kabisa waendelee tu ....
MANENO YANGU SI SHERIA..........