Ifike muda habari za vibustani vikomeshwe...

Ifike muda habari za vibustani vikomeshwe...

FUTURE YA NINI WAKATI PRESENT YENYEWE HUNA.??? SOME OF US LIKE TO LIVE NOT TO SURVIVE AND WE LIVE NOW NOT TOMORROW!

Afu msitake kutuzuga MARRIAGE IS ALL HYPE, BRANDING AND MARKETING! Ila there is nothing so special about anything.

Maisha yanabadilika anaekufaa leo kesho taka taka tu! Na moyo wa mtu kiza kinene! USIESEMEE MOYO WA MWENZI WAKO!

After all it makes sense kuwa mad na mtu mliejicommit nae ila mchepuko hauna deni na wewe!

REEDOM OF SPEECH ITS A FREE COUNTRY!
Mkuu mbona unachukia/ kuogopa ndoa sana..shida nini..!?
 
Hajui utamu wa michepuko huyo,mwache siku akija kugundua,utamu utakuwa umeisha na sisi tutakuwa tumeshagundua njia nyingine ya kupata utamu.
 
Awe kwenye ndoa au laa..haimkatazi kuongea ukweli!...

Kutokana na imani yangu Mungu aliumba dunia kwa maneno(kutoa kauli) na akasema iwe bahari na ikawa...hivyo hivyo ukisema mchepuko kwako lazima utakwenda tuu nje yandoa maana ulimi huumba.

Eti kisa tress, mbona kazi za maofisini hamuachi na ndiko kuna stress balaa?!...

Mimi ninamwaka wa tatu ktk ndoa, niliweka nadhiri siku niliyofunga ndoa nikamwambia Mungu huyu ndo mke uliyenipatia wengine wote niwaone kama mama zangu...full stop sijawahi tongoza na wala sifikilii hilo

Vishawishi vipo kama binadamu pia stress zipo tena kuna mwaka nilinuniwa miezi mitatu sijapewa papuchi lakini daima nakumbuka agano langu nililoweka kanisani....

I can see you are a real man! Keep it up
 
Hapo inaonyesha ulivyoishiwa hoja. Mungu katoka wapi katika uzinzi?

Na we kwa akili zako unadhani faraja ya kweli Inapatikana kwa mchepuko!! Anyway we ni sawa na wale kina nanihii sio kosa lako
 
sikujua kama inakingika kwenye chupa kwani inatoka kama haja ndogo ama?inatoka kwa matone sasa mpaka kichupa kifike robo itakuwa kazi kwelikweli…..
Huyo mwenzenu Sura hana na wala hana mvuto
ndio maana anadhani watu kumpapatikia Bibie ni kuwa anakamzizi au anakunga damu za hedhi
ni uongo mtupu
 
Na we kwa akili zako unadhani faraja ya kweli Inapatikana kwa mchepuko!! Anyway we ni sawa na wale kina nanihii sio kosa lako
Naam naamini kuwa michepuko yenye tija inaomarisha ndoa kwa ajili ya ustawi wa viumbe tuliowaleta kwa raha zetu
 
Back
Top Bottom