Losambo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 2,612
- 864
MS kubali awamu hii JK kachemsha na huko tuendako ni kubaya zaidi na atazidi kuchukiwa zimwi la Dr. Slaa litamuandama sana. Aache blah blah apange mipango kazi ya kuokoa uchumi wetu badala ya kujileeza kwenye fitna na watu wake zaidi.
dk slaa akiwa rais, inaonyesha wapinzani wake wengi watakuwa Uhamishoni