Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,321
- 10,077
Rocky we Rocky we na mkeo nani anawahi kufika nyumbani?Katavi hata wife akitoka kazini au ametoka safari humpokei kwa kiss
Rocky we Rocky we na mkeo nani anawahi kufika nyumbani?Katavi hata wife akitoka kazini au ametoka safari humpokei kwa kiss
Rocky we Rocky we na mkeo nani anawahi kufika nyumbani?
Mi ndo naingia!
Ashadii, u seem to know this kiss-thang an extra mile!
Vipi huko vijijini kwetu, wazee wetu wa zamani hawakuwahi kufanya kissing...Ilikuwa ni kushikana tu na kunanihiino!...
So what word can you throw to me regarding these old-chaps, did they miss alot or?
Asha ngoja nikwambie my idea of romance. Raha yangu (ambayo ni raha ya wazee wengi wa kihaya) nikirudi nyumbani mama anatenga beseni la maji ya vugu vugu na sabuni. Ananiambia nyegera waitu,ananivua viatu na soxy kisha taratibu anaanza kunisafisha miguu na kunipaka sabuni. Iko namna kinamama wanafanya hii maneno maana baadae anaanza kukuangalia usoni aone reaction yako,mkisha lock macho ujumbe unakuwa umefika kwamba leo ni leo asiye na mwana aeleke jiwe,umeelewa mama? hayo ndo malavidavi ya kikwetu,veeeeeery romantic and enticing! Lakini haya ya kwenu mnageuzana bidhaa za Bakhresa mmmmhhhhhhBishanga acha kutisha watu....lol... Hata blow up Kiss nisipewe??? Alafu toa maujuzi yako bana acha kubania.....
Ulikuwa unahakikisha unaswaki vizuri?....ashadii, again thanks for this very interesting topic...
wakati naisoma hii, ghafla nimepitiwa na wazo, je?....iwapo kwenye mahusiano ya awali, ---early stages---
99% ya kisses nimekuwa ndiyo na initiate hizo kisses,..ina maana mimi ndio nam feel zaidi mwenzangu,
ama niendelee tu na mawazo kwamba "she's still reserved" kuonyesha emotions zake?
khaa, mbu nilikuwa wapi siku zote...lol..!
Jamani Asha nimekuelewa lakini hapa si tunaongelea watu wazima ambao wameshachakachuliwa hadi wakachachulika,how do you get orgasm kirahisi hivo?Bishanga unakumbuka enzi za ku baleh?? (kwa wanaume tu!!)
Hee!! Hio Kiss ilikua kiboko.....lol... mpaka naona maneno yanagoma kutoka.....
umeona sizinga eee, wengine mpaka area of concentration zipitiwe na rabsha rabsha, aftar all, si mpaka umpate a good kisser? wengi anakujazia mimate tu na liulimi analisokomeza utadhania anachiimba nini sijui aaarrghh,
now you are talking!Aiise yeye bana
Mhhh Bishanga usinipige mawe bure i was just show an example bana sio kwamba mimi ndo natangulia home
Yeye anatangulia ili anipokee
I'll come through PM!worryout.KakaKiza you have done it and ADI is profoundly happy.... Thank you bana....
Na pia for the acknowledgement..... hasa umeshare what and how to be Kissed....lol
....ashadii, again thanks for this very interesting topic...
wakati naisoma hii, ghafla nimepitiwa na wazo, je?....iwapo kwenye mahusiano ya awali, ---early stages---
99% ya kisses nimekuwa ndiyo na initiate hizo kisses,..ina maana mimi ndio nam feel zaidi mwenzangu,
ama niendelee tu na mawazo kwamba "she's still reserved" kuonyesha emotions zake?
khaa, mbu nilikuwa wapi siku zote...lol..!
Ulikuwa unahakikisha unaswaki vizuri?
maana mambo mengine bwana msione tu watu hawataki kukiss pengine kuna jambo hahahaha
joke mkuu wangu
Mkiwa wapya ili kujua kama kuna connection kali kiss ni kitu muhimu sanalol...shantel i love you ujue...?
"tena nachugulia na n'kaa mie...!"
hapana, nadhani kuna reservations kwa wapenzi wapya, pia mrembo kuogopa
kuonekana mcharuko (labda!),...lakini ina long term effect iwapo mwanzoni
nitajijengea mazoea alikuwa ha initiate kisses...dahhh,...ashadii bana
Asha ngoja nikwambie my idea of romance. Raha yangu (ambayo ni raha ya wazee wengi wa kihaya) nikirudi nyumbani mama anatenga beseni la maji ya vugu vugu na sabuni. Ananiambia nyegera waitu,ananivua viatu na soxy kisha taratibu anaanza kunisafisha miguu na kunipaka sabuni. Iko namna kinamama wanafanya hii maneno maana baadae anaanza kukuangalia usoni aone reaction yako,mkisha lock macho ujumbe unakuwa umefika kwamba leo ni leo asiye na mwana aeleke jiwe,umeelewa mama? hayo ndo malavidavi ya kikwetu,veeeeeery romantic and enticing! Lakini haya ya kwenu mnageuzana bidhaa za Bakhresa mmmmhhhhhh
napenda anavokiss my neck from the back, anavoshuka na uti wa mgongo makes me wet all over my back
akirudi mdomoni, with his soft lips oooops , then anastop ananiangalia reaction yangu, amini amini nakwambia
ashadii, hakuna raha unaacha kuiona, kissing is the best thing kwenye sex life, and yah lazima uwe in love na uwe
unamfeel sana partner wako
Mbu.... well observed Pal.... Hili suala hata Rejao kagusia thou in a different way... Mie naamini saana kua tabia za wapenzi hujengwa ndani ya wapenzi wenyewe... Kama toka mwanzo wa mahusiano it seems you are always initiating everything and neva say a word about it - mimi kama mwanamke nitachukulia kua unapenda kua in control... but ikitokea siku ukasema kua "Mpenzi wangu mbona hata siku moja sioni wee uki initiate lolote" inachangia saana kumpa uhuru mwanamke... For as much as tunaimba maendeleo kwa woote kwa yoote na haki sawa... SEX is the one of the great areas ambazo we have to agree kua a Man is still in control katika mengi...
Hivo aweza kua anapenda saana hizo kisses na she feels them, but hana wasi wa kuanza for anajua for a fact kua utaanza na anakua kakusoma kua ni wakati gani unafanya hivo.... hata hivo kuna exceptions za watu ambao hawapo shy katika hio sector... yeye anainitiate kama kwa.... (hivi Mbu nimejibu sawa kweli??)