If I had my druthers....

If I had my druthers....

Hahahaaaa wtf is that?


Wewe usiwe mbishi, umemtusi muheshimiwa kwa kujipachikia maneno yaliyoleta "ambiguity".

Neno "Derange" (derangement) hasa hutumika kwa ajili ya matatizo ya akili. Kwa mwanadamu.

Sasa unaposema mfano; Nyani ngabu derangement syndrome, maana yake ni mparaganyiko wa akili wa Nyani ngabu wenye dalili mbalimbali.

Sema hukuwa na nia ya kutusi bali umekosea kupanga maneno ili kupata maana uliyoikusudia.
 
In this Information Age, almost everybody is an ‘expert’ in ‘everything’.

So, if I had my druthers, this is what I would do:

Wale wote ambao kwao Rais Magufuli hana jema lolote lile, ningewapa fursa ya wao kuunda serikali nzima ya kuiongoza Tanzania halafu tuone kile ambacho wao wangekifanya kilicho bora zaidi na kilicho tofauti kabisa na afanyacho Rais kwa sasa.

Manake sasa naona na sisi kwenye hii Tanzania yetu tuna watu wanaosumbuliwa na Magufuli Derangement Syndrome.

Chochote afanyacho Rais, kuna watu hawatapenda tu, hata kama na wao ni wanufaika.

Chochote asemacho Rais, watu hawa wenye huu ugonjwa wa Magufuli Derangement Syndrome, watasema ni kibaya tu kwa vile kimesemwa na yeye. Lakini kitu hicho hicho kikisemwa na mwingine, watashangilia kwa kupiga makofi na vigeregere.

Watu hawa natamani sana wao ndo waunde serikali ili hatimaye tuone kama kweli wanaweza kufanya kinyume na vile ufanyavyo huu utawala wa sasa.

Manake isije tu kuwa ni kelele za kupitia kwenye keyboards zisizoambatana na substance yoyote ile kwenye uhalisia.

Anyway, that’s just a hope. And a hope without a plan is nothing more than a wish.....
Sometimes ni wivu tu..
 
Wewe usiwe mbishi, umemtusi muheshimiwa kwa kujipachikia maneno yaliyoleta "ambiguity".

Neno "Derange" (derangement) hasa hutumika kwa ajili ya matatizo ya akili. Kwa mwanadamu.

Sasa unaposema mfano; Nyani ngabu derangement syndrome, maana yake ni mparaganyiko wa akili wa Nyani ngabu wenye dalili mbalimbali.

Sema hukuwa na nia ya kutusi bali umekosea kupanga maneno ili kupata maana uliyoikusudia.

Kiingereza kinakusumbua lakini hujui kama kinakusumbua na ndo maana unaleta ubishi kwenye jambo ambalo hulijui.

Haya hebu jifunze kidogo hapo chini.


 
In this Information Age, almost everybody is an ‘expert’ in ‘everything’.

So, if I had my druthers, this is what I would do:

Wale wote ambao kwao Rais Magufuli hana jema lolote lile, ningewapa fursa ya wao kuunda serikali nzima ya kuiongoza Tanzania halafu tuone kile ambacho wao wangekifanya kilicho bora zaidi na kilicho tofauti kabisa na afanyacho Rais kwa sasa.

Manake sasa naona na sisi kwenye hii Tanzania yetu tuna watu wanaosumbuliwa na Magufuli Derangement Syndrome.

Chochote afanyacho Rais, kuna watu hawatapenda tu, hata kama na wao ni wanufaika.

Chochote asemacho Rais, watu hawa wenye huu ugonjwa wa Magufuli Derangement Syndrome, watasema ni kibaya tu kwa vile kimesemwa na yeye. Lakini kitu hicho hicho kikisemwa na mwingine, watashangilia kwa kupiga makofi na vigeregere.

Watu hawa natamani sana wao ndo waunde serikali ili hatimaye tuone kama kweli wanaweza kufanya kinyume na vile ufanyavyo huu utawala wa sasa.

Manake isije tu kuwa ni kelele za kupitia kwenye keyboards zisizoambatana na substance yoyote ile kwenye uhalisia.

Anyway, that’s just a hope. And a hope without a plan is nothing more than a wish.....
Mimi nimependa hiyo para ya mwisho tu.
 
Nyani Ngabu you look so smart, lakini cha ajabu kwanini huoni kilicho nyuma ya pazia? Je ni kweli huoni? au huoni kimkakati?

Sisi wakristo tuna maandiko yanasema "shetani huwa anakuja kwa sura ya malaika" anafanya hivi ili kuwahadaa watu wa Mungu, sasa wewe endelea kuhadaika na huyo shetani mwenye sura ya malaika.
Huyo anasumbuliwa usukuma. Nothing else.
 
Kiingereza kinakusumbua lakini hujui kama kinakusumbua na ndo maana unaleta ubishi kwenye jambo ambalo hulijui.

Haya hebu jifunze kidogo hapo chini.




Hii ndiyo shida ya waswahili, kujiokotea maneno maalumu yanayotumika kwa watu maalumu na kwa shughuli maalumu na kuyanathibisha na mambo yao bila kupeleleza maana ya maneno yenyewe kama kwa upande wao yanaweza kuleta matokeo yapi. Je, hukusoma haya maneno??👇🏻

"Trump derangement syndrome" TDS--- The term has been used by Trump supporters to discredit criticism of his section ----.

That's a term used "specifically" by Trump SUPPORTERS.

In British english which we Tanzanians we used to, the sentence is a defamatory and insult to our dignitaries .

don't just pick an insulting word meant for some purpose and adhere it to something irrelevant.

The TDS is a make of Trump supporters for his critics and is not meant for any body else. You being
Magu supporter you should devise your own make to support him.
 
Hii ndiyo shida ya waswahili, kujiokotea maneno maalumu yanayotumika kwa watu maalumu na kwa shughuli maalumu na kuyanathibisha na mambo yao bila kupeleleza ya maneno yenyewe kwa upande wao yanaweza kuleta matokeo yapi. Je, hukusoma haya maneno??👇🏻

"Trump derangement syndrome" TDS--- The term has been used by Trump supporters to discredit criticism of his section ----.

That's a term used "specifically" by Trump SUPPORTERS.

In British english which we Tanzanians we are used to, the sentence is defamatory and insult to our dignitaries .

don't just pick an insulting word meant for some purpose and athere it to something irrelevant.

The TDS is a make of Trump supporters for his critics and is not meant for any body else. You being
Magu supporter devise your own make to support him.

You are dumb as a bag of rocks.

I can use whatever words I choose to drive home my point.

If Trump Derangement Syndrome can be used to dismiss his detractors, it can also be used to dismiss Magufuli’s detractors.

There is absolutely nothing wrong with it.

The only thing wrong here is you and your limited knowledge and proficiency of the English language.

Go back to school and brush up on your grammar.
 
In this Information Age, almost everybody is an ‘expert’ in ‘everything’.

So, if I had my druthers, this is what I would do:

Wale wote ambao kwao Rais Magufuli hana jema lolote lile, ningewapa fursa ya wao kuunda serikali nzima ya kuiongoza Tanzania halafu tuone kile ambacho wao wangekifanya kilicho bora zaidi na kilicho tofauti kabisa na afanyacho Rais kwa sasa.

Manake sasa naona na sisi kwenye hii Tanzania yetu tuna watu wanaosumbuliwa na Magufuli Derangement Syndrome.

Chochote afanyacho Rais, kuna watu hawatapenda tu, hata kama na wao ni wanufaika.

Chochote asemacho Rais, watu hawa wenye huu ugonjwa wa Magufuli Derangement Syndrome, watasema ni kibaya tu kwa vile kimesemwa na yeye. Lakini kitu hicho hicho kikisemwa na mwingine, watashangilia kwa kupiga makofi na vigeregere.

Watu hawa natamani sana wao ndo waunde serikali ili hatimaye tuone kama kweli wanaweza kufanya kinyume na vile ufanyavyo huu utawala wa sasa.

Manake isije tu kuwa ni kelele za kupitia kwenye keyboards zisizoambatana na substance yoyote ile kwenye uhalisia.

Anyway, that’s just a hope. And a hope without a plan is nothing more than a wish.....
Siyo kwamba hakuna jema alilofanya,yapi mema mengi tu. Tatizo ni huu unyanyasaji wa watu, kutekwa na kupotea,kwanini hakemei? Ndiyo maana watu wanahisi anahusika. Na hayo ndiyo yanafanya achukiwe.
 
You are dumb as a bag of rocks.

I can use whatever words I choose to drive home my point.

If Trump Derangement Syndrome can be used to dismiss his detractors, it can also be used to dismiss Magufuli’s detractors.

There is absolutely nothing wrong with it.

There only thing wrong here is you and your limited knowledge and proficiency of the English language.

Go back to school and brush up on your grammar.

You blind fool, haven't you learnt about ambiguous sentences in English and Kiswahili, you blindly pick insulting words from your Americans masters to suit your support campaign of your man, shame to you.
 
In this Information Age, almost everybody is an ‘expert’ in ‘everything’.

So, if I had my druthers, this is what I would do:

Wale wote ambao kwao Rais Magufuli hana jema lolote lile, ningewapa fursa ya wao kuunda serikali nzima ya kuiongoza Tanzania halafu tuone kile ambacho wao wangekifanya kilicho bora zaidi na kilicho tofauti kabisa na afanyacho Rais kwa sasa.

Manake sasa naona na sisi kwenye hii Tanzania yetu tuna watu wanaosumbuliwa na Magufuli Derangement Syndrome.

Chochote afanyacho Rais, kuna watu hawatapenda tu, hata kama na wao ni wanufaika.

Chochote asemacho Rais, watu hawa wenye huu ugonjwa wa Magufuli Derangement Syndrome, watasema ni kibaya tu kwa vile kimesemwa na yeye. Lakini kitu hicho hicho kikisemwa na mwingine, watashangilia kwa kupiga makofi na vigeregere.

Watu hawa natamani sana wao ndo waunde serikali ili hatimaye tuone kama kweli wanaweza kufanya kinyume na vile ufanyavyo huu utawala wa sasa.

Manake isije tu kuwa ni kelele za kupitia kwenye keyboards zisizoambatana na substance yoyote ile kwenye uhalisia.

Anyway, that’s just a hope. And a hope without a plan is nothing more than a wish.....
Kwa hiyo wewe ungependelea Tanzania iliyojaa praise singers na cheerleaders; homogenious sapiens wasiohoji hili wala lile? sioni kwanini unatumia neno kupinga badala ya kuhoji; kisichohojiwa ni mistari ya biblia na korani tu
though hypothetically pia!
 
Kwa hiyo wewe ungependelea Tanzania iliyojaa praise singers na cheerleaders; homogenious sapiens wasiohoji hili wala lile? sioni kwanini unatumia neno kupinga badala ya kuhoji; kisichohojiwa ni mistari ya biblia na korani tu
though hypothetically pia!

Kujibu swali lako: hapana.
 
In this Information Age, almost everybody is an ‘expert’ in ‘everything’.

So, if I had my druthers, this is what I would do:

Wale wote ambao kwao Rais Magufuli hana jema lolote lile, ningewapa fursa ya wao kuunda serikali nzima ya kuiongoza Tanzania halafu tuone kile ambacho wao wangekifanya kilicho bora zaidi na kilicho tofauti kabisa na afanyacho Rais kwa sasa.

Manake sasa naona na sisi kwenye hii Tanzania yetu tuna watu wanaosumbuliwa na Magufuli Derangement Syndrome.

Chochote afanyacho Rais, kuna watu hawatapenda tu, hata kama na wao ni wanufaika.

Chochote asemacho Rais, watu hawa wenye huu ugonjwa wa Magufuli Derangement Syndrome, watasema ni kibaya tu kwa vile kimesemwa na yeye. Lakini kitu hicho hicho kikisemwa na mwingine, watashangilia kwa kupiga makofi na vigeregere.

Watu hawa natamani sana wao ndo waunde serikali ili hatimaye tuone kama kweli wanaweza kufanya kinyume na vile ufanyavyo huu utawala wa sasa.

Manake isije tu kuwa ni kelele za kupitia kwenye keyboards zisizoambatana na substance yoyote ile kwenye uhalisia.

Anyway, that’s just a hope. And a hope without a plan is nothing more than a wish.....
Mkuu Ngabu, JPM anatukanwa na kudhalilishwa na tabaka la watu lililozoea maisha ya dezo, maisha ya mteremko.

Mtu mmoja wa Dar kila mwisho wa mwezi anao uhakika wa kuingiziwa kwenye akaunti yake ya benki mishahara ya marehemu watano na miwili ni hewa, bila ya kufanya kazi anakula bata kifisadi.

JPM ameua status quo haswa zile za Dar, mishemishe za kipuuzi zote zimepigwa chini.

Sasa waathirika hawawezi kukubali kufa pasipo japo kurusha ngumi, wanajua kifo cha mishe zao kimeshafika lakini hawawezi kufa kinyonge.
 
Unaweza kujua hii namba si square root ya mbili bila kujua square root ya mbili ni nini.

Kwa hiyo mtu kusema "hapo umekosea, hiyo si square root ta mbili" si lazima yeye ajue square root ya mbili ni nini.

Mimi nimependa Magu alivyoikata mkia bandari ya Bagamoyo ambayo ilikuwa inaletwa bila mpango.

Lakini hilo halimaanishi anavyofanya ushamba wa kuminya demokrasia nafurahia.
Vipi chato airport imekuja na mpango upi mkuu?
 
Mkuu Ngabu, JPM anatukanwa na kudhalilishwa na tabaka la watu lililozoea maisha ya dezo, maisha ya mteremko.

Mtu mmoja wa Dar kila mwisho wa mwezi anao uhakika wa kuingiziwa kwenye akaunti yake ya benki mishahara ya marehemu watano na miwili ni hewa, bila ya kufanya kazi anakula bata kifisadi.

JPM ameua status quo haswa zile za Dar, mishemishe za kipuuzi zote zimepigwa chini.

Sasa waathirika hawawezi kukubali kufa pasipo japo kurusha ngumi, wanajua kifo cha mishe zao kimeshafika lakini hawawezi kufa kinyonge.

Ni kweli.

Ila hawa wengine ni wafuata mkumbo tu.

The herd mentality is real.
 
Mgonjwa hata kama atakufa kumwambia direct inahitaji moyo wa chuma hata kama ni kweli, nafikir hicho ndicho kinachomgharimu mh.
 
Ni kweli.

Ila hawa wengine ni wafuata mkumbo tu.

The herd mentality is real.
I'm sure you know the meaning of the word "insurgents".

We have got learned ones and big mouthed ones.

JPM ni mtu mwenye uthubutu mkubwa sana, hauwezi kumkatisha tamaa kwa maneno ya kebehi au kejeli za kitoto.
 
Hahaha hakukubalika chamani alipitishwa kwa nguvu, hakushinda uchaguzi akatangazwa kwa nguvu. Haya unayoyaona ni matokeo ya kulazimisha kutawala watu.
Sasa anajitahidi kutafuta legitimacy ndio hapo anapingwa kwa kila kitu. Hata akimleta Yesu bado atapingwa, ingawa wanaweza kumpokea Yesu lakini yeye huyu Magufuli watampinga tu maana watu hawamtaki kwa lolote na chochote.
Labda bavicha waliojazana jf
 
Back
Top Bottom