I will tell you what I have been honestly thinking, Tatizo la Chadema ni kukosa uongozi makini. Wanatakiwa wareshuffle haraka sana system yao ya uongozi na kuna watu inabidi frankly waachie ngazi wao wenyewe otherwise they will lead this party to hell. Na next uchaguzi kama hawatafanya la maana hivi viti vingi vya ubunge watavipoteza sana. Nachelemea kuamini kuwa kuna tatizo kuwa la kimadaraka humo ndani na kuna watu wanadhani kuwa wanahodhi chama.
Kwani MM baada ya CCJ kufutiwa usajili aliamia chama gani? je alipiga kura kwenye uchaguzi mkuu? tatu, sisi ndio tuliopigwa mabomu ya machozi wakati wao wanakula kuku tu huko Detroit USA, SWALI kama MM una mapenzi mema na CHADEMA, ilikuwaje Gret thinker kama wewe kudandia briefcase poritical party kama CCJ?Please Apologize
I'm going to say this in very categorical terms. And I mean every single word here in: CHADEMA must apologize to President Kikwete, its members, supporters and all Tanzanians in general. Why you may ask:
a. For leading people to believe that the elections were somehow not as free or fair as expected.
b. By leading people to believe that the presidential election results were somewhat tampered with, sabotaged or somewhat were fraudulent.
c. By suggesting that the National Electoral Commission colluded with CCM to ensure that president Kikwete remain in power.
d. By making people believe that they were the victims of a corrupt political system.
e. For walking out of the parliament when President Kikwete was about to address the nation protesting the legitimacy of the electoral results that put Kikwete in power. We now know that this was a wrong decision bases on what the CC of Chadema has decided.
What does all this mean? It simply means that Chadema has lost the argument on the fairness of the elections. It has lost the argument that NEC somewhat conducted one of the worst elections ever in the United Tanzania. In a long run this is what is going to happen.:
a. CCM will NOT and I'm stating with sense of absolute certainty - WILL NOT initiate or even allow the process to write a new constitution. The best they are going to is a cosmetic amendments to the constitution. Specifically, just those areas that cover NEC.
b. Chadema will go to the next elections from a position of weakness compared to the position it founds itself in during the 2010 elections.
c. Chadema has taken a position of strategic postponement of its internal problems. Once again it seems there is a lack of leadership; while others see the recent moves within Chadema as the most "intelligent" or "strategic" I see them as decisions of political expediency. One, Chadema is not United not in leadership but in vision, decisions and political positions and secondly, they are still thinking in terms of being an opposition party. CCM will definitely will like to maintain that status quo.
In short, Chadema SHOULD apologize, initiate a process of self assessment, correction and rebuilding. Otherwise, LET IT continue to dig its its own grave of political oblivion. They asked the people to support them, they argued for change in their manifesto, but when push came to shovel, Chadema flinched and flinching they continue.
I'm done with one too. Sigusi tena and those are my points and I'm sticking to each one of them.
Either Freedom or Death,
MMM
sijakuelewa kwenye hizo sentensi naomba u-elaborate then tutakufundisha what is Free and Fair election!
It is better to declare, who are you serving and for whose benefits?
Mbona hata hivyo CDM ilipigana bila yeye?
Mwanakijiji this sound like early xmas suprise!!..niaje?!!umeniacha njia panda
Wandugu hapa tatizo ni kuwa kuwaambia Chadema ama viongozi wake kuomba msamaha ni sawasawa na kusema kuwa Zitto alikuwa sawa na Dr Slaa na baadhi ya wabunge wa Chadema walikosea....Hilo linahitaji uungwana wa dhati ambao ukweli baadhi ya viongozi wetu hawana hulka hiyo na hawaamini katika umuhimu wake kwenye siasa.....
Kitendo wanachokifanya Dr Slaa katika mazungumzo yake na waandishi wa habari jana na humu ndani ndugu yangu Myika ni kitendo cha kuchakachua maamuzi ya Kamati Kuu yao na hivyo msimamo rasmi wa CHADEMA kuhusu URAIS wa Jakaya Kikwete.
Maoni yangu kwa ndugu yangu Mnyika....ahcna na hili gemu kwa faida ya hapo mbeleni. Waache makapi ya CCM wajimalize ili ninyi kizazi cha demokrasia muweze kuleta mabadiliko ya kweli huko tuendako. Kujinasabisha na Mbowe ambaye ni sura ya siasa za ujanjaujanja katika Chadema na hivi sasa Dr Slaa ambaye taratibu anajinasabisha na siasa za chuki Chadema ni kujimaliza wakati ndio kwanza kunakuchwa na hiyo ni dhambi kwa watanzania makin wenye kuamini kuwa mbadala makini unawezekana.....Chonde kaka
1. This strengthen my political know how regarding type of leadership Chadema has. I once said this three weeks before election day that there are two types of leaders.Hatujasema tunamtambua, tumesema kwamba ametambuliwa na Tume na Katiba ambayo inakataza matokeo yake yasipingwe mahakamani; akitangazwa ametangazwa. For us Kikwete is legal but illegitimate president!
Suala la kutambua ama kutomtambua sio letu, kwa kuwa limeshapatiwa majibu na mfumo uliopo; logically, ukiyakataa matokeo umemkataa na aliyetokana na matokeo hayo! Tulimsusia kwenye hotuba ya kuzindua bunge ili kufikisha ujumbe kuwa tunataka tume ya uchunguzi na kuanza kwa mchakato wa katiba mpya ambayo pamoja na mambo mengine italeta tume huru ya uchaguzi. Msimamo huu uko pale pale na tunapaswa kuunganisha nguvu ya umma kuudai!
JJ
Ndicho ambacho wengine hawakijui Ommy! Mbowe ni kiongozi wa CDM tena naweza kusema kiongozi mzuri tu, ILA IJULIKANE KUWA HANA MPANGO NA ISSUE ZENU ZOZOTE ZILE -sijui katiba au NEC-forgeet!!MPANGO WAKE NI KUENDELEZA BIASHARA ZAKE NA KU-MAKE MONEY! na hii ndio ommy anasema ujanjaujanja tu
Slaa hivi karibuni amekuwa akieneza siasa za chuki tena za wazi dhidi ya Zito na kila kinachotokea sasa Slaa ni archtects.
Moto anaoupitia Zito angekuwa ni Slaa mngempoteza CDM, Zito amevumilia mengi na sasa anaonyesha ni mtu mzima kamuacha mbali sana Slaa. kura ziliziopigwa bagamoyo juzi akina slaa na mbowe wanataka kusema hawahusiki! they were there!
Mpango uliopo ni clear kwa sasa, Mbowe ameambiwa akae pembeni kwenye hili sakata awe observer na kuliko Mbowe kumpoteza Zito anaona bora Slaa aondoke, lakini kesho Mbowe uki-mkonvince kuhusu Zito ataona Zito bora aondoke, hana misimamo , yeye anakuwa na misimamo deal za hela zinapokuwa hazizai!!
peeeeeeeeeeeeepooooooooooooooooooooooooooozz!!!!!!!
I'm going to say this in very categorical terms. And I mean every single word here in: CHADEMA must apologize to President Kikwete, its members, supporters and all Tanzanians in general. Why you may ask:
a. For leading people to believe that the elections were somehow not as free or fair as expected.
b. By leading people to believe that the presidential election results were somewhat tampered with, sabotaged or somewhat were fraudulent.
c. By suggesting that the National Electoral Commission colluded with CCM to ensure that president Kikwete remain in power.
d. By making people believe that they were the victims of a corrupt political system.
e. For walking out of the parliament when President Kikwete was about to address the nation protesting the legitimacy of the electoral results that put Kikwete in power. We now know that this was a wrong decision bases on what the CC of Chadema has decided.
What does all this mean? It simply means that Chadema has lost the argument on the fairness of the elections. It has lost the argument that NEC somewhat conducted one of the worst elections ever in the United Tanzania. In a long run this is what is going to happen.:
a. CCM will NOT and I'm stating with sense of absolute certainty - WILL NOT initiate or even allow the process to write a new constitution. The best they are going to is a cosmetic amendments to the constitution. Specifically, just those areas that cover NEC.
b. Chadema will go to the next elections from a position of weakness compared to the position it founds itself in during the 2010 elections.
c. Chadema has taken a position of strategic postponement of its internal problems. Once again it seems there is a lack of leadership; while others see the recent moves within Chadema as the most "intelligent" or "strategic" I see them as decisions of political expediency. One, Chadema is not United not in leadership but in vision, decisions and political positions and secondly, they are still thinking in terms of being an opposition party. CCM will definitely will like to maintain that status quo.
In short, Chadema SHOULD apologize, initiate a process of self assessment, correction and rebuilding. Otherwise, LET IT continue to dig its its own grave of political oblivion. They asked the people to support them, they argued for change in their manifesto, but when push came to shovel, Chadema flinched and flinching they continue.
I'm done with one too. Sigusi tena and those are my points and I'm sticking to each one of them.
Either Freedom or Death,
MMM