Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,119
- 173,953
Ina maana alikuwa easy kwa utani 😂😂😂 ila kuna watu wako serious hawatakagi mazoea. Hao ndio wa kuwa nao makini.Hayati Mzee Moi alikuwa mkali sana,ila kuna lijamaa lilikuwa likimwigiza sana,alikuwa anacheka sana jamaa alivyokuwa anamuigiza...