Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,146
- 6,051
Mchekeshaji na mwanamitindo maarufu nchini Idris Sultan ameendelea kusota rumande kwa siku saba kutokana na makosa ya kimtandao. Idris aliitwa kuhojiwa na jeshi la Polisi toka may 19, 2020 ambapo anashikiliwa hadi leo.
Sheria zinasemaje kwa mtuhimiwa? Ana haki zake nae pamoja na kutuhumiwa.
#KatibaNiYetu
View attachment 1459884
Huyu Mwarab Koko Beach aachwe tu asote huko, amezidi sana ujinga wa kulazimisha ili apate kicki. Dada zake uchwara kina Maria Sarungi na Ankal wake Zitto ndiyo wanamtumia vibaya biya yeye kujitambua. Ujinga wa kutojitambua ni mbaya sana.